ni kweli mh jk amenishtua. Leo amewakaribisha wa turkish kuwekeza nchini kwenye sekta mbalimbali ikiwamo kilimo! Yani kwa miaka zaidi ya 50 ya kuwa huru na kujitawala,leo tunamkaribisha bepari aje kuwekeza kwenye kilimo! Ilitakiwa tuwaambie tuna hotculture products bora,pamba bora kahawa bora,korosho bora,ngano bora katani bora,ndizi bora tunahitaji soko wafungue milango. Wawekeze kwenye kilimo!?!wasaidie kilimo kwanza au!? Kilimo kwanza kimeshindwa hadi mnakaribisha mabepari kuwekeza kwenye kilimo! Shame on us, shame to the government. Sikubaliani hata chembe na mh jk hata chembe katika hili,totally sounds like a fail government
namnukuu,bw,khamisi swedi kagasheki,,,,,,hardhi,,,yote tanzania,ni mali ya bwana mkubwa,rais,hakuna mtanzania yoyote mwenye hati miliki ya hardhi,kuwa mali yake isipokua umilikiswa kwa miaka,36,99,mwisho wa kumnukuu,,sasa kwa maneno haya na kwa katiba hii ya sasa inampa rais dilitu za kutuuza kila anapotaka,wewe huoni anavyo safiri na kaulimbiu yake ni kwenda kutafuta wawekezaji,wanaokuja kupewa maekari ya mashamba,alafu watanzania wanatolewa kama wakimbizi juu ya hardhi yao,watanzania wenzangu tuamke nchi inauzwa kwa kasi ya fasti jet,,,lakwanza ni kupigania hakizetu zinazotaka kuporwa na ccm kwenye mchakato wa katiba,ya sasa,na kuakikisha rais anakua mtumishi na sio mungu mtu,mimi katika maisha yangu sijaona wazungu waki omba omba,misaada kama matonya,na nchi zao hazina utajiri wa rasilimali kama africa,ebu tujiulize wa tanzania tumelogwa na nani,nchi tajiri kama tanzania,bado viongozi wanabeba mabakuli,nchi za nje na kuomba omba kama matonya,haya gesi imeshapatikana,hata wazungu wanatucheka sana kila siku utasikia wawekezaji wawekezaji,uhu ni ujinga wa kufikiriatu kwa serikali ya ccm,