Mh. Rais, tengeneza mfumo kupitia sheria!

System yenyewe ni kuwa na watawala wanaofanana naye.
Tatizo lenu chuki zimewapofusha mnashindwa kuona ukweli kua Magufuli ni faida kubwa kwa Taifa!

Mioyo yenu ni baridi! Mmepoteza hisia za kizalendo
 
Imeeleweka na nani? Maana nina hakika uliyemwandikia hajaelewa. Angeelewa angeheshimu utawala wa sheria!
Namwona Magufuli kama nafasi ya kipekee kabisa kwa nchi hii kusikia hatua flani ya maendeleo!

Kwa mtu wa caliber yake, akisimamia haya, hakika nakuambia tunavuka kama Taifa!
 
Mkuu dawa hapa ni Katiba tena siyo hii ya Warioba yenye Waziri mwandamizi na makamu wawili wa Rais, tunataka mpya kabisa.
Mkuu Babati, moja shika, sii kumi nenda rudi!. Fimbo iliyo mkononi ndio iuwayo nyoka! . Katiba tayari tunayo hii ya 1977 na Katiba pendekezwa inayosubiri kura ya maoni kuipitisha. Hatuwezi kuanza na kitu kipya hadi kwanza tukikamilishe hiki kilichopo mkononi! .

Paskali
 
Mkuu Babati, moja shika, sii kumi nenda rudi!. Fimbo iliyo mkononi ndio iuwayo nyoka! . Katiba tayari tunayo hii ya 1977 na Katiba pendekezwa inayosubiri kura ya maoni kuipitisha. Hatuwezi kuanza na kitu kipya hadi kwanza tukikamilishe hiki kilichopo mkononi! .

Paskali
Mkuu msingi wa kuwa na sheria nzuri unatokana na uwepo wa Katiba nzuri, mimi siyo mwanasheria lakini najua sheria haziwezi kuheshimiwa kama katiba ni mbovu, ndicho kinachotokea hata sasa.
 
Alishasema hii mambo ya kujenga mifumo (katiba) haina haraka. Hebu acha anyooshe nchi kwanza!
 
Afrika ata ukiweka sheria kama hakuna utashi wa huyo kiongozi ni bure kabisa.. Afrika katiba wanazibadili itakua hizo sheria
 
Mwenzio anaamini atatengeneza system kwa kichwa chake...na hivi Mungu kampa bichwa kubwa basi kazi ipo
 
Ukawa huwa mnapinga kila kitu! Haha! Hawa jamaa wameamua kua kila kitu wapinge tu!
Ata mkipewa huo ushauri kwenu itakuwa ni kama mmepingwa. Huwa ccm haipendi ukweli imezoea kuishi kwa uongo na kwa kutumia jeshi la polisi.
 
Kumbe hata hujui kua hujui??? Katiba haiwezi beba kila kitu!!!

Ndio maana nasema sheria maana huko hata bylaws zitasaidia! Jifunze then come and argue!
Atengeneze sheria gani tena wakati zipo lukuki mpaka zile za makaburu mmeshazirudisha chini mtawala mkaburu mweusi(ccm)
 
Mkuu Babati, moja shika, sii kumi nenda rudi!. Fimbo iliyo mkononi ndio iuwayo nyoka! . Katiba tayari tunayo hii ya 1977 na Katiba pendekezwa inayosubiri kura ya maoni kuipitisha. Hatuwezi kuanza na kitu kipya hadi kwanza tukikamilishe hiki kilichopo mkononi! .

Paskali
Watawala wanaiogopa hii katiba waliyoitengeneza wenyewe. Nadhani ulishawahi kumsikia pogba akisema hana mpango na katiba mpya na wala hakuahidi katiba mpya. Katiba sio kipaumbele kwake.
 
Ata mkipewa huo ushauri kwenu itakuwa ni kama mmepingwa. Huwa ccm haipendi ukweli imezoea kuishi kwa uongo na kwa kutumia jeshi la polisi.
Magufuli ni msimamizi mzuri sana wa sheria! Na anachokifanya sasa is no difference from what he is!

Magufuli is going to set up a system which all of us are going to befit from and be proud of!
 
Back
Top Bottom