- Thread starter
- #21
Umeona mzee? Tunaule ushamba wa kulundika kila kitu katikati ya mji, miji itakuwaje sasa ? Unapeleka station ya standard gauge pale mwanza mjini, abiria wakishuka ndio waanze sasa kubanana kutoka nje ya mji, jam zitapungua kweli?Hili wazo la kujenga stand kubwa eneo la FELA ni wazo zuri sana, kwanza kuna station ya treni hapo hivyo abiria wa treni hatalazimika kufika mjini, atateremkia fela na kukamata usafiri wa bukoba geita musoma, stand za nyegezi na nyamhongolo zibaki kwa ajili ya daladala za mjini, lakini stand kuu ijengwe FELA kwa kweli,