Mh. Rais sema neno Watanganyika Tupone: Tunaomba Jumatatu ya Tarehe 23 Machi 2026 iwe Sikukuu ya Idd kama Zanzibar

Mh. Rais sema neno Watanganyika Tupone: Tunaomba Jumatatu ya Tarehe 23 Machi 2026 iwe Sikukuu ya Idd kama Zanzibar

kinondoniilala

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2015
Posts
1,622
Reaction score
1,864
Kwako Mheshimiwa,

Kipenzi cha Watanzania Mkuu wetu wa nchi ikukupendeza Tunaomba utoe neno watanganyika tupone, Jumatatu iwe Sikukuu ya Mapunziko kusherehekea Idd Tatu (3).

Ni Mimi Mtanzania Mzalendo wa Kinondoni Chama hapa.

Nawasilisha
 
Back
Top Bottom