Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,590
- 25,706
Mkuu hawawependi Raia wake waliompa kura hii mpya ni Nchi ya kukomoana na Visasi juu utadhani tupo Juba...
Endeleeni kumuombea labda atawaelewa lakini wale wanaomzunguka wamemshindwa inatakiwa uamini kwamba tabia ni kama ngozi ya mwili huiwezi kuibadili
Ndugu yangu hapo ni kama unampigia mbuzi gitaa...haoni, hasikii na hajitambui; kalewa madaraka hadi shida. Angekuwa na uwezo angewafukuza wote wanaomkosoa abaki na mataahira yasiyojua yalikotoka, yalipo na yanakoelekea.Mh. Rais jitafakari madaraka yamekulevya; Wapinzani si maadui wa wananchi kama unavyofikiria.
Acha upofu yule comender kaingia chamani akiwa soja, na hawa walioko mikoani na wilayani kama wakuu huvaa na magwanda wakiwa ofisini (Dc's & Rc's) nao unawasemeaje ?!. Double standardKwani Leo hii Hugo Major bado ni Mwanajeshi...!??
Ndio maana nikasema, hata Lissu kabla hajagombea aachie nafasi zake kuanzia ngazi ya tawi, wilaya, mkoa, kanda na taifa ambako ni mjumbe wa;
>> Mkutano mkuum
>> Halmashauri Kuu
>> Kamati Kuu
>> Mwanadheria Mkuu wa Chama.
Yaani atoke kwenye active politics, abaki kuwa mwanachama na shabiki wa kawaida tu.
TLS kitu gani,watu wametoa mifano kwenye muhimili wa mahakama alipotokea Jaji Ramadhani na TuliaTatizo watanzania hatupendi kuambiwa ukweli. Na kwa sababu ukweli ni mchungu kwetu basi tunamuona Mh. Rais kama kikwazo. Ila wenye macho tunayaona. TLS inakoelekea ni kwenye siasa.
Kwa hiyo TLS ikiwa na uongozi wa makada ndiyo siyo siasa ??!!!Tatizo watanzania hatupendi kuambiwa ukweli. Na kwa sababu ukweli ni mchungu kwetu basi tunamuona Mh. Rais kama kikwazo. Ila wenye macho tunayaona. TLS inakoelekea ni kwenye siasa.
Nguvu inayotumika na wapinzani kumkwamisha JPM kipropaganda ndiyo hiyo inayotumika kuwazuia wasifanikiwe....for every action, there is an equal reaction....!
Hivi siasa ni pale anapojitokeza mtu wa upinzani na je hao makada si siasa ??!!Alichokisema ni sahihi,TLS itumikie profession kwa kuserve maslahi ya taifa na si kisiasa
Kwani atatawala milele? one day yesUnafikir mzee wa visasi atakubali kumpa?
Mbona umetumia nguvu kubwa sana wakati kila kitu kipo wazi kuhusu huyo rais wako mwema!?Katika watu wapumbavu na wajinga hutakosa. Inabidi uwaambie JF members ambao ni wengi kwamba uhuru wanaoutumia kwa kebehi na dharau kwa rais kwa sababu tu ya chuki zenu haziwezi kumkwamisha rais kutekeleza ilani ya CCM ambayo ndiyo ilimpa ushindi. Mpo deluded na kufikiri Tanzania imewekwa rehani na vifisadi ambavyo haviwezi kufua dafu kwa serikali hii. Hamuwezi kumfanya chochote rais wa Tanzania na hao kina Mbowe na Jambazi Sugu et al wanaowalisha peremende zitawatokea puani.
Kwa tume gani ya uchaguzi, hii NEC ya makada kweli ?! WaTz wote tunalizimishwa kufanya bila hiyari yetu . So saadAnapokera kujiona kuwa yeye anajua Kila jambo, na kuwadharau wengine wote kuanzia viongozi mpaka wananchi wake, ukweli kuwa marekani waliona mbali sana kutokumpa maskini Urais, huyu anatabia za ajabu mno tutamnyoosha 2020 asubiri