mkongongojo
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 245
- 156
Hoja gani? Unaposema rais ni dictator wakati uchaguzi ulifanyika ina maana wewe ni hayawani. Tena mshukuru huyu JPM bado anawapa muda mtalia na kusaga meno.
Unaweza kufanyika uchaguzi bado kiongozi au mtawala akaongoza kidictator.