Mh. Rais jitafakari madaraka yamekulevya; Wapinzani si maadui wa wananchi kama unavyofikiria

Chimulenge

JF-Expert Member
Sep 5, 2016
219
150
Mwanzoni sikutaka kuamini kama ile kauli ya Dr. Mwakyembe ilikuwa yake, nilijua atakuwa alitumwa na mh. Rais kupima kina cha maji.

Mimi siyo muongeaji sana ninachotaka kukuambia mh. Rais ipo siku hautakuwa Rais na utakuwa ni raia kama mimi tu, na itakuwa ni bahati mbaya sana kwako pale unaemtendea mabaya ukiisi unamkomoa baadae ndo akawa ni rais na ikawa ni mlipa kisasi kuzidi wewe utasaga meno.

 
Mwanzoni sikutaka kuamini kama ile kauli ya Dr. Mwakyembe ilikuwa yake, nilijua atakuwa alitumwa na mh. Rais kupima kina cha maji.

Mimi siyo muongeaji sana ninachotaka kukuambia mh. Rais ipo siku hautakuwa na utakuwa ni raia kama mimi na itakuwa ni bahati mbaya sana kwako pale unaemtendea mabaya ukiisi unamkomoa baadae ndo ukawa ni rais na ikawa ni mlipa kisasi kuzidi wewe utasaga meno.


He kumbe kuwa na masaa maslahi ya taifa hili ni kuwa mwanadamu ccm tu? Mithali 28:16 imeandikwa nini?
 
Back
Top Bottom