Chimulenge
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 219
- 150
Mwanzoni sikutaka kuamini kama ile kauli ya Dr. Mwakyembe ilikuwa yake, nilijua atakuwa alitumwa na mh. Rais kupima kina cha maji.
Mimi siyo muongeaji sana ninachotaka kukuambia mh. Rais ipo siku hautakuwa Rais na utakuwa ni raia kama mimi tu, na itakuwa ni bahati mbaya sana kwako pale unaemtendea mabaya ukiisi unamkomoa baadae ndo akawa ni rais na ikawa ni mlipa kisasi kuzidi wewe utasaga meno.
Mimi siyo muongeaji sana ninachotaka kukuambia mh. Rais ipo siku hautakuwa Rais na utakuwa ni raia kama mimi tu, na itakuwa ni bahati mbaya sana kwako pale unaemtendea mabaya ukiisi unamkomoa baadae ndo akawa ni rais na ikawa ni mlipa kisasi kuzidi wewe utasaga meno.