EL MAGNIFICAL
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 938
- 125
nianze na salam kwako !
Sina hakika sana kama jina la ndugu Phillipo mlugo ni geni kwako....
Huyu bwana ni mmiliki wa shule moja iliyopo mbeya inaitwa southen highland kabla ya kuwa naibu waziri wa elimu alikuwa ni mkurugenzi wa shule tajwa hapo juu lakini kati ya mwaka 2005 mpk 2008 shule yake ilifungiwa kwa miaka 2 baada ya kuvujisha mtihani wa kidato cha 4.... Je kumpa unaibu waziri ktk wizara ya elimu huoni kama umeweka mdokozi jikoni !! Naonaga jinsi anavyojifanya mchungu ktk shule nyngne zinazokiuka taratibu lakini kiukweli mwizi akiibiwa huona ameonewa !!!
Nawasilisha..
Sina hakika sana kama jina la ndugu Phillipo mlugo ni geni kwako....
Huyu bwana ni mmiliki wa shule moja iliyopo mbeya inaitwa southen highland kabla ya kuwa naibu waziri wa elimu alikuwa ni mkurugenzi wa shule tajwa hapo juu lakini kati ya mwaka 2005 mpk 2008 shule yake ilifungiwa kwa miaka 2 baada ya kuvujisha mtihani wa kidato cha 4.... Je kumpa unaibu waziri ktk wizara ya elimu huoni kama umeweka mdokozi jikoni !! Naonaga jinsi anavyojifanya mchungu ktk shule nyngne zinazokiuka taratibu lakini kiukweli mwizi akiibiwa huona ameonewa !!!
Nawasilisha..