Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Naronyo
hapa hakuna mambo ya tafsiri,kwani issue ipo wazi sana
kiapo kitamfanya waziri ama mbunge kufanya kazi husika,lakini kutokula kiapo hakimfanyi waziri ama mbunge asiwe mbunge
ataitwa mbunge ama waziri baada tu ya kutangazwa na mamlaka tajwa ktk katiba
Mkuu mbona Rais anatajwa na Tume lakini anakuwa Rais mteule hadi aape? Na kumbuka Rais akishatajwa na Tume hakuna wa kwenda kupinga hilo popote pale lakini hawezi kushika madaraka ya Urais hadi aape!