Mh Rais ebu tumbua na hili jipu

Mh Rais ebu tumbua na hili jipu

Ekyoma

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
2,177
Reaction score
2,805
1462699126232.jpg
 
enzi za sodoma na gomora malaika alikuja kwa kupenda zinaa wakamtongoza sasa imejirudia mmefir.............mmeona haitoshi sasa mmegeukia adi kwa watawa mungu okoa kizazi hichi ndiyo maana magonjwa hayaishi ukimwi hamuogopi mungu anawapiga kwa kansa, kisukari, na presha magonjwa yamekuja kwa kasi haswa kwa vijana kumbukeni mungu acheni kutamani adi hawa walioamua kumtumikia mungu
 
enzi za sodoma na gomora malaika alikuja kwa kupenda zinaa wakamtongoza sasa imejirudia mmefir.............mmeona haitoshi sasa mmegeukia adi kwa watawa mungu okoa kizazi hichi ndiyo maana magonjwa hayaishi ukimwi hamuogopi mungu anawapiga kwa kansa, kisukari, na presha magonjwa yamekuja kwa kasi haswa kwa vijana kumbukeni mungu acheni kutamani adi hawa walioamua kumtumikia mungu
Icho kitafunwa cha baba paroko aisee
 
enzi za sodoma na gomora malaika alikuja kwa kupenda zinaa wakamtongoza sasa imejirudia mmefir.............mmeona haitoshi sasa mmegeukia adi kwa watawa mungu okoa kizazi hichi ndiyo maana magonjwa hayaishi ukimwi hamuogopi mungu anawapiga kwa kansa, kisukari, na presha magonjwa yamekuja kwa kasi haswa kwa vijana kumbukeni mungu acheni kutamani adi hawa walioamua kumtumikia mungu
Mbona wanaliwa na wakubwa sana tu.
 
Roho yako na roho ya paka viko sawa,,,!
Kila binadamu anamatamanio ndio Mana Kuna kike na kiume. Anyway yaishe lakini ukweli unajulikana. Hakuna starehe Duniani kama ya mume na MKE.
 
Uzi wa hovyo huu. Kwa nini ufanyie mizaha kwa viongozi au mambo ya imani za watu?
Lengo ni nini hasa? Kufurahisha jukwaa au kubebwa na kimbunga cha ujana?
 
Kila binadamu anamatamanio ndio Mana Kuna kike na kiume. Anyway yaishe lakini ukweli unajulikana. Hakuna starehe Duniani kama ya mume na MKE.
Mi nadhani inawezekana kumpendeza na kumtumikia Mungu ata ukiwa kwenye ndoa, Ifikie hatua sasa Kanisa liruhusu ili swala kujiepusha na Kashfa za Uzinzi pia kuruhusu wenye Wito ingawa wana ndoa kutumika Kanisani! Tujadili
 
Ni kweli mkuu watu wapo kwenye msimamo mzuri lakin nje wana wake na watoto ,sasa si waruhusiwe tu ieleweke moja. Tujadili kwa pamoja.
 
Kuna vitu vingine hata kama vipo ila kuvitaja hadharani ni ujinga mkubwa sana, kijana kanunua bando anapost ujinga wakati kuna mambo mengi yakujadili na kimaendeleo, mnakoelekea mtakuja kutaja viuongo vyenu vya uzazi mbele ya wazazi wenu mkiulizwa mtasema si vipo kwani ni uongo
 
Mm nilikuwa amtafuna mmoja ndanda mission .....nilijua nitakuta bikra...oooh wapi.nilikuwa namgegeda na misosi ya kanisani ananiletea.....
 
Back
Top Bottom