Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,210
- 42,072
Kama ni kwa maneno haya matatu uliyo andika hapa, bila shaka hujui maaana ya propaganda.
hizo ni propaganda
hizo ni propaganda
kile kikaragosi kinachoitwa ritz, leo kinapiga shift moja tu? Nilitarajia nikikute humu kikishuhudia propaganda yake ya ukabila ikishindwa...
Haki-ya Mungu hatulali mpaka walale waoccm wanaendelea kudhani kuwa wananchi wamelala
Mkuu, jibu la hilo lipo wazi, hawaelewi wakikaa ofisini wafanye nini, kwasababu ofisini kuna kazi nyingi while wao hawazioni then wanajikuta hawana cha kufanya hence wanakua bored halafu wanasinzia.
Ili kutoa usingizi bora waende safari kama hizo, baadhi ya mizigo ya safari ndo hiyo mikasi, Nina maana ya mikasi hii ya kukatia sio mikasi ile ya vijana.
CCM inakufa kifo cha mende[/QUOTE
Yanaweza kuwa maneno ya kujifariji hayo.