Mh. Msigwa umeonesha ukomavu katika siasa

Mh. Msigwa umeonesha ukomavu katika siasa

Ushauri wa LOWASA umezingatiwa!

Tutafanya siasa za AINA ZOTE.

Kwenye kugoma tutagoma & kwenye kuunga mkono tutafanya hivyo.
 
Malaika kaingia katikati ya mashetani, imekuwa balaa!. CCM hawaamini ona wanavyoshangaa!, alafu wanawasiwasi hata picha hawajapiga kwa raha. Ha ha haaaha!
 
Kinachonishangaza ni vijana wa CCM na CHADEMA wanapomponda na kubeza kitendo hicho ambacho kinaonekana kwenda tofauti na msimamo wa chama chake, baada ya CHADEMA kutangaza msimamo wake kwa kutoshirikiana na serikali ya Chama cha Mapinduzi.

Acheni kupotosha kwa makusudi

UKAWA hawajawahi kusema hawataki kushirikiana na serikali

UKAWA hawataki kushiriiana na Tulia Mwansasu naibu spika wa Bunge la Tanzania
 
Mchungaji kaukumbatia mkono wa JPM kama vile anamshsuri jambo fulani?
 
Hii ndio maana halisi ya kuacha siasahadi 2020
 
Ushauri wa LOWASA umezingatiwa!

Tutafanya siasa za AINA ZOTE.

Kwenye kugoma tutagoma & kwenye kuunga mkono tutafanya hivyo.
Lowasa hatatoka hapo alipo, nasema tena kumtoa hapo kwamba asiwe Mgombea 2020 ni kutafuta kuibomoa chadema jamaa ana mbinu Sana za kutengeneza makundi. CCM walinusurika.[emoji6]
 
ea757e8e9ec6344b50f3aeed2b32e63b.jpg

Si walisema shughuli yoyote itakayomhusisha Naibu Spika wao watasusa?

Dawa yao ni kuwa-ignore tu mpaka watakapojielewa.

Wahenga walisema,"Hata mwewe hushinda angani lakini jua likizama lazima atue tu".
 
Si walisema shughuli yoyote itakayomhusisha Naibu Spika wao watasusa?

Dawa yao ni kuwa-ignore tu mpaka watakapojielewa.

Wahenga walisema,"Hata mwewe hushinda angani lakini jua likizama lazima atue tu".
mkuu umeongeza yako....
 
Ukweli unaanza kujidhihirisha kuwa ndo mwisho wa "siasa za kitoto, kinafiki na kiharakati".

UPIZANI usione aibu kujirekebisha na kuungana na Watanzania wote (wanachama wao na wasio)kuijenga Tanzania ya viwanda.

UPINZANI urudi mezani kujipanga upya jinsi ya kuchukua Dola 2020!
 
Msigwa ataitwa msaliti,atajadiliwa tu
Huwa nasema siku zote ukawa ni genge la wasanii na waganga njaa tu,povu lote lile,leo kaanza msigwa watafuatia wengine
Mameya walishaacha kususa baada ya kuonywa na mwenye chama
 
Back
Top Bottom