ile statement ya kumtaja Kikwete imekaa kichochezi sana pia. Kuna chumvi sana kwenye ile statement kiasi kwamba hata mimi ningekuwa kikwete ningenyamaza. Kikwete ana madhaifu mengi sana kama Kiongozi mkuu wa nchi, lakini hili la Rwanda binafsi nampongeza handling yake. It is the one thing amefanya sawa katika machache sana ambayo kafanya sawa. Kwa hiyo nakuunga mkono. jengine ambalo ningependa kuongezea hapo ni hili. kwamba Paul Kagame hatabaki kuwa rais wa Rwanda milele. yapo mazuri kaifanyia nchi yake, lakini binafsi namwona kavimbishwa kichwa sana na sifa anajihesabu ni kijimungu mtu. Rwanda itapata kiongozi mwingine eventually na matumaini ya Kenyata kucontrol Rwanda kwa mikataba yake na Kagame inaweza kuwa mashakani in the long run. Strategically, ishu kubwa hapa wala si Rwanda. Ishu kubwa hapa ni Uganda! That is what we need to be thinking about the most.Uganda anawaza nini? Can Uganda be in the same pot with Kenya? for what and for how long? hii ndo hasa issue ya kuiwazia sana. Kenya anatafuta regional relevance kupitia Uganda na South Sudan. South Sudan ipo mbali sana nasi, kwa hiyo issue hasa ni Uganda. Hii takataka inaitwa Rwanda (hili neno takataka ni la Kagame peke yake)achana nayo.... Uganda ndiyo issue hapa.