Ni kweli umoja ni guvu, utengano ni udhaifu...lakini kumbuka wameshaanza kututenga
kijiichake. pili, kuna aina mbali mbali za umoja, kuna umoja unaondwa kuangamiza wengine na kuna umoja unaoundwa kuokoa wote.. kumbuka Tanzania imejengwa kwa misingi ya ujamaa, pia Umoja na Amani.. na katika harakati zote tokea uhuru Tanzania imepinga uonevu iweje leo tukubali kuonewa tena hadharani. hamna haja ya kuwa na umoja usio na faida, ndio maana nikasema haki na uoja wetu tuelekeze katika Umoja wa Afrika.. ngoja nikupe mfano.. wewe unaedai wa mpakani.. mfano Uganda ikadai kagera ni yao utaipeleka kesi EAC.. hapo utaliwa maana wanaushirika wao.. Kenya ikisema Rombo ni yao utapeleka Kesi EAC.. kwa kura itakula kwako lakini ukiipeleka AU hai itapatikana zaidi..
Chadema ni chama changu Tanzania ni nchi yangu... tatizo lako ni uelewa finyu wa demokrasia. na chadema kama ilivyo ccm , cuf , tlp ncccr tunawajibu wa kujenga nchi sio chama...
namuheshimu sana MH sitta , sijamtaja maana, ukiuwa EAC na wizara yake inakwenda na maji ndio maana sijamtaja.. pia angalia hii wizara na michango kwenye huu umoja, na pia wizara ni kubebesha wa TZ mzigo wa kodi.. nimetaja Nimemtaja Membe maana hiyo wizara ya Sitta ingefaa kuwa dawati kwenye ofisi ya Mambo ya njee..
hii haitakuwa mara ya kwanza EAC kuvunjika, hivyo ya pili sitashangaa...
mwisho asante sana, mimi nitamchumbia dada yako, nitamuoa , utakuwa shemeji yangu na kisha nitajenga nitaijenga nchi ya Afrika, ndoto ya wapigania uhuru, ndoto watumwa.. Ubarikiwe Mheshimiwa