KISANTILITEDI
Member
- Dec 31, 2009
- 96
- 27
Mh Membe,
Mimi kama mtanzania natoa hoja naomba serekali yangu inisikie, tafadhali tunaomba serekali yaTZ ijiondoe kwenye muunguno wa EAC hatuwezi kuendelea huu umoja wakati tayari washirika wameshaunda umoja wao.. inamaana shauri lolote lile TZ ikipeleka kwenye huu umoja halitapita maana wengine wameshaamua..ECOWAS tuliweza.
Ni heri tukajitoa kwa sababu zifuatazo tukiwa wakwanza kuondoka hatutakula hasara sana, tukichelewa muungano utavunjika na hasara itakuwa kubwa zaidi. Pili, kama kuna jambo lolote linahusu ushirikiano linaweza kujadiliwa Umoja wa Afrika, ambako kutakuwa na usawa zaidi wa watanzania kupata haki yao.. Tatu, viongozi wote walioko kwenye EAC ni wakiukwaji wa haki za kibinadamu, ( wote tunajua h historia ya kagame, kenyata na Kaguta).. kama tuna kiu ya ushirikiano sana tunaweza kushurikiana na Burundi na Kongo ambako tayari tumeshatuma vijana kusawazisha Amani duru ya taifa letu.
Na nne hatuwezi kushuhudia ofisi yetu kuu( ikulu ikidhalilishwa) na watu amba tumewasaidia kwa jasho letu ( tumesuluhisha kenya, tumeikomboa UG toka kwa nguli amini, Rwanda Baba yetu wataifa alipotezea mda wake wa kustaafu kutafuta suluhu.. licha ya wakimbizi) alafu tucheke nao... Mwisho kabisa mimi kama kijana wa CHADEMA, naunga kauli ya mwenyekiti (Mbowe), 'mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpatieni' rais wetu Kikwete kaonyesha hekima kutojibiza na samaki wanaotapatapa..yeye ni action tuu wanamuonea CCM.. dongee limewakaba.. maskini yule jamaa wa, I'll hit you' kama umemmcheki fresh kazeeka... sijui tumpasishie kikombe cha babu wa loliondo... asante nawasilisha
Prof Kisantilitedi
Mimi kama mtanzania natoa hoja naomba serekali yangu inisikie, tafadhali tunaomba serekali yaTZ ijiondoe kwenye muunguno wa EAC hatuwezi kuendelea huu umoja wakati tayari washirika wameshaunda umoja wao.. inamaana shauri lolote lile TZ ikipeleka kwenye huu umoja halitapita maana wengine wameshaamua..ECOWAS tuliweza.
Ni heri tukajitoa kwa sababu zifuatazo tukiwa wakwanza kuondoka hatutakula hasara sana, tukichelewa muungano utavunjika na hasara itakuwa kubwa zaidi. Pili, kama kuna jambo lolote linahusu ushirikiano linaweza kujadiliwa Umoja wa Afrika, ambako kutakuwa na usawa zaidi wa watanzania kupata haki yao.. Tatu, viongozi wote walioko kwenye EAC ni wakiukwaji wa haki za kibinadamu, ( wote tunajua h historia ya kagame, kenyata na Kaguta).. kama tuna kiu ya ushirikiano sana tunaweza kushurikiana na Burundi na Kongo ambako tayari tumeshatuma vijana kusawazisha Amani duru ya taifa letu.
Na nne hatuwezi kushuhudia ofisi yetu kuu( ikulu ikidhalilishwa) na watu amba tumewasaidia kwa jasho letu ( tumesuluhisha kenya, tumeikomboa UG toka kwa nguli amini, Rwanda Baba yetu wataifa alipotezea mda wake wa kustaafu kutafuta suluhu.. licha ya wakimbizi) alafu tucheke nao... Mwisho kabisa mimi kama kijana wa CHADEMA, naunga kauli ya mwenyekiti (Mbowe), 'mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpatieni' rais wetu Kikwete kaonyesha hekima kutojibiza na samaki wanaotapatapa..yeye ni action tuu wanamuonea CCM.. dongee limewakaba.. maskini yule jamaa wa, I'll hit you' kama umemmcheki fresh kazeeka... sijui tumpasishie kikombe cha babu wa loliondo... asante nawasilisha
Prof Kisantilitedi