M.Kwidohya
Member
- Feb 18, 2013
- 61
- 7
Ni kipindi kirefu toka tumchague mh mdee kuwa mbunge wetu wa kawe bt linapo kuja jambo la kuonekana sasa hapo ndio shida,Kama mi hapa nilipo sijawai kumuona mbunge wetu toka kuchaguliwa adi sasa kila tumwambiapo anasema mara yupo mkoa mara sijui what sasa nini tofauti ya chadema na ccm mh jimboni kunashida kibao umeme mdogo barabara mh mdee unazingua sana lini utakuja kuongea na sisi wapga kula wako hupo busy na mambo ya watu wengine yako huku yamekushinda...chadema tupo wengi na majembe yapo ya kutosha kawe,mbezi kote hko kachonjo dada,bsi ata kwenye tawi unashindwa kuja au paka wakati ufike wa kula?