Mh. Mdee vipi mbona kimya hatukuoni Kawe?

Mh. Mdee vipi mbona kimya hatukuoni Kawe?

Hivi huyu mwenye hizi harakati za kumpiga vita Mdee si tuliambiwa kaonywa na chama? Mbona bado anaendelea???
 
yawezekana kweli cdm humu jf hawapendi chama chao na viongozi wao kukosolewa.lakini hata ukosoaji wenyewe hauna mashiko.tujifunze kuwalaumu wabunge kwa kushindwa kutekeleza yale waliyoahidi kuliko kupenda kuwaona machoni.sidhani kama ktk ahadi za mdee kuna moja inayosema ataonekana mara kwa mara.kunanjia nyingi za kutekeleza ahadi hata kama mb yuko nje ya jimbo.kwani we kama mpiga kura ungechagua nini kati yakuonana nambunge au mbunge kutekeleza aliyoahidi?other wise unataka kupiganaye picha.
 
Ritz,
Ni lini Halima Mdee alikua mbunge wako ama umehama ubungo?

Mbunge wangu ni Halima Mdee, kumwambia Mnyika apeleke maji Ubungo hakuniondoi kuwa mkazi wa Kawe karibu Kunduchi upate samaki.
 
yawezekana kweli cdm humu jf hawapendi chama chao na viongozi wao kukosolewa.lakini hata ukosoaji wenyewe hauna mashiko.tujifunze kuwalaumu wabunge kwa kushindwa kutekeleza yale waliyoahidi kuliko kupenda kuwaona machoni.sidhani kama ktk ahadi za mdee kuna moja inayosema ataonekana mara kwa mara.kunanjia nyingi za kutekeleza ahadi hata kama mb yuko nje ya jimbo.kwani we kama mpiga kura ungechagua nini kati yakuonana nambunge au mbunge kutekeleza aliyoahidi?other wise unataka kupiganaye picha.
 
Back
Top Bottom