Mbowe unanikumbuka? siku ile tulikesha pamoja pale NMC arusha.MA NAMWONA PRESIDAA MTARAJIWA
huyu naye ni nani?
MH NANIIINO NAE ALIKUWEPO
loh hapa cdm nawaonea huruma,hicho kiruzuku wanachopata ndio kanatumika kutanua badala ya kwenda kufungua matawi ya chama huko mikoaniBaadaye leo anakutana na vijana wa Kitanzania walioko maeneo haya ya Washington D.C. Virginia na Maryland. Hata mimi yakhe nitajikongoja niende kuona yanayojiri na jioni nitawaleteeni taarifa.
loh hapa cdm nawaonea huruma,hicho kiruzuku wanachopata ndio kanatumika kutanua badala ya kwenda kufungua matawi ya chama huko mikoani
Msiniulize kama chakula kina pottasium cynide ama lah..tusubiri yawafike.....mwakyembe aliunga unga vijisafari hivi hivi alipofilia kumomonyoka mpaka leo akumbuki alikula wapi
hii nchi hii
loh hapa cdm nawaonea huruma,hicho kiruzuku wanachopata ndio kanatumika kutanua badala ya kwenda kufungua matawi ya chama huko mikoani
anatambua sana mchango wa kila mpenda mabadiliko endelea kupambana dont lay down your tools until we liberate our nation from ccm colonizationMbowe unanikumbuka? siku ile tulikesha pamoja pale NMC arusha.
amekimbia hiyo mimacho yako!!!kule zanzibar dj mbowe amepakimbia nini?