Mh.Mbowe & Mh. Nasari nani kakurupuka?

Pinokyo Jujuman

JF-Expert Member
Feb 5, 2012
552
104
CDM ni chama kikubwa cha upinzani kilicho HAI kishikacho kasi ya pekee. Hivi juzi kwenye mkutano wao Arusha Mh. Nasari alitoa kauli ambazo kimsingi si zenye kujenga Chama wala Taifa, lkn kwa NIA njema Mh. Mbowe aliipinga ile kauli ili kurudisha mori kwa Watanzania wenye mapenzi mema na chama chao.
Tatizo langu ni pale watu wanapotetea kauli ya Mh.Nasari na kutaka kuondoa utata kwamba Nasari hakukosea;
sasa nashindwa kuelewa mwataka kutuambia Mh.Mbowe kakurupuka kwa kubatilisha kauli ya mpiganaji wake?
 
Mh.Nassari bado mchanga katika Siasa ni kheri afate njia sahihi za Viongozi wake badala ya kuongea kauli tata ambazo mwisho wa siku zinaweza kumpotezea umaarufu na umahiri wake; aachane na "SIASA ZA MAJI TAKA" za kina Lusinde,sio size yake; badala yake ajijenge yeye na Chama chake; ifike wakati tukubaliane pale tunapoteleza na sio kukubaliana na kila jambo hata lenye mtizamo hasi kwa wananchi wengi wenye kukipenda chama(CDM) na Taifa lao"
 
tatizo le2 wabongo hawataki kuambiwa ukweli, sio kisa unaipenda chadema basi ndo kukifagilia hadi kinapoteleza hyo haipendezi.
Mara oh kakojoe ulale mara oh mada imefungwa we ndo invisible? Au kuranduka tu..alaaah.
 
Pa1 na mapenzi yangu/ye2 kwa CDM lkn hapa Nassari aliteleza,ujasili mkubwa sio kuwa mr perfect peke yake lkn pia kukubali pale unapokosea. Kauli kama hizo 4sure sio AFYA kwa taifa kama Tanzania. Sasa kama Bwana Mkubwa Mh Mbowe aliona kauli inamakosa akaamua kurekebisha sisi tunawezaje kujustify. Haya ngoja tukalale.
 
Kama Nasari anaweza kusema samahani kwa aliowakwaza atajiongezea heshima.....mtizamo tu!
 
Back
Top Bottom