Basi,usiogope,mimi nipo pamoja nawe.Usifadhaike,mimi ni Mungu wako.Nitakuimarisha na kukusaidia,nitakulinda kwa mkono wangu wa ushindi.Mwisho.
Hata wale ambao tutafuta kazi tusomeni mstari huu.
yaani ni kweli lowassa anapaswa kumshukuru mungu mara saba sabini kwani tangu walipokuwa pm hadi sasa amepata maadui wengi ambao wamekuwa wakimuwinda usiku na mchana ili tu wamwangamize kisiasa,hata ripoti ya richmond ilikuwa ni mkakati kama huu wa kugivua gamba eti kwa maadai ya ufisadi wa watu 2,hivi ni mikataba mingaji ina kasoro na haina maslahi kwa taifa lakini husikii watufatilia
,iptl,songas, agereko ,meremeta etc,ndio lile swali tena linarudi je ccm mafisadi ni wawili tu?na je mkataba wa richmond tu
Ndio ulipaswa kuangaliwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.