MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Tutoe sifa pale sifa inapobidi itolewe. Mh. Lipumba kaonyesha uongozi wa kweli kwa kwenda kumtembelea Mbowe central kwa nafasi yake ya mwenyekiti wa Tanzania Centre for Democracy inayounganisha vyama vyote vya upinzani vyenye wabunge.
Kaongea kwa busara sana.
Last edited by a moderator: