masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,172
Vaa ya wanasiasa wetu ina athari katika muonekano wa nchi socially.
Nimeiona picha hii kwenye gazeti la Guardian pg 13, 25/9/2017.
Hii suti mchinjo ni kwa vijana kama kina Diamond, haionekani kuwa executive.
Sijui, naweza kuwa nimekosea!