Nimemsikia Mh Kafulila akihojiwa BBC akisema tuwe na a parallel process ya kutengeneza katiba mbadala. Ni obvious ya kwetu itakuwa nzuri zaidi kwa hiyo ni kwenda kuipinga ya kwao bungeni na pia kuipinga kwenye referandum.
Mimi nina hakika tukipiga kampeni ya nguvu kuhakikisha watu wote wanajiandikisha na kwenda kupiga kura tutaizuia katiba isipite. Tukifanikiwa itakuwa pigo kubwa kwa CCM na dalili za kushindwa 2015.
Kampeni ya kupinga katiba itakuwa ndio kampeni ya urais. Nashauri chadema izungumze na akina kafulila ili kuwapa nafasi kwenye serikali kivuli maana wamedhihirisha kuwa ni wapinzani.
Mimi nina hakika tukipiga kampeni ya nguvu kuhakikisha watu wote wanajiandikisha na kwenda kupiga kura tutaizuia katiba isipite. Tukifanikiwa itakuwa pigo kubwa kwa CCM na dalili za kushindwa 2015.
Kampeni ya kupinga katiba itakuwa ndio kampeni ya urais. Nashauri chadema izungumze na akina kafulila ili kuwapa nafasi kwenye serikali kivuli maana wamedhihirisha kuwa ni wapinzani.