Mh.john komba apinga kusinzia bungeni!!

kipindupindu

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2010
Posts
1,054
Reaction score
170
Asema alikuwa 'anakemea'
kutokana na maombi yake mbowe ametoa kauli nzuri bungeni.
Akiri alifeli darasani.
 
tupatie picha ya mh. akichapa lepe la usingizi. pengine alitoka kubwia supu ya makongoro:thinking:
 
Mkuu ni kweli kasema alikuwa anakemea mapepo, wabunge wake walicheka sana. Nadhani alikuwa anajisafisha baada ya jana kuanikwa na mapaparazi wa mwananchi.
 
hahahahaha,jana nilicheka sana,na nazidi kucheka,AMEKANA HAKULALA?dah,au kwakuwa mwandish amesema alikuwa akifuatilia kikao?ile ni KEJELI,
 
Sasa nimejua ukweli makada wa ccm wenye vitambi wote wanafikiri kwa kutumia vitambi vyao. chukua anayoongea Tambwe Hiza na leo John Komba utaupata ukweli.
 
Alikuwa kalala, anajitetea tu.....
 
Mwili umemzidi huyu kiumbe aise
 
ha hahaaaaaaaaaaaaaaaaaa, uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii jamani JF mnanivunja mbavu kwa kicheko, ati alikua anakemea mapepo, wakati mwenyewe pepo!!
 
sasa kama alikuwa anakemea mapepo si angemshirikisha mchungaji mama lwakatare?....au mganga prof maji marefu....
 
yaaani nilichekaa nilipomsikia Kapteni Komba...hahaaa alinifurahisha sana sanaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…