Mh. Elibarick Kingu - DC Igunga

Mh. Elibarick Kingu - DC Igunga

Sasa mnamwonea wivu kijana mdogo huyu Kingu basi sasa tutamshauri JK nawe akupe UDC maana inakuuma sana ndugu yangu!

Pole sana ndugu yangu!
 
Siyo suala la wivu. Kama Kingu alikula hela ya wanachuo, basi ni mwizi. Hakuna jina limfaalo zaidi ya hilo. Kinachotakiwa nikumwomba mtoa tuhuma kuleta uthibitisho. Si sahihi kumkingia kifua kwa madai kuwa anaonewa wivu. Anaonewa wivu wa kitu gani? DCs na RCs, siyo nafasi za kuonewa wivu kwa mwenye akili, hawa ni watu wasio na kazi yoyote wilayani na mikoani zaidi ya kumpokea Rais, Waziri Mkuu na Makamu wa Rais. Hizi ni nafasi za kujikomba au shukrani siyo nafasi za uwezo wa kiutendaji.

Sasa mnamwonea wivu kijana mdogo huyu Kingu basi sasa tutamshauri JK nawe akupe UDC maana inakuuma sana ndugu yangu!

Pole sana ndugu yangu!
 
kingu ni ngumi jiwe anawakimbiza ndio mana mnamtungia uongo

Sipendi mi jitu kama wewe unayeshabikia upuuzi wa watu wengine!hivi unapomtetea mwizi kama huyo anakupatia nini?acha kujikombakomba,wananchi tuna hali ngumu wengine wanajinufaisha kwa kodi zetu wewe unatetea!utaishia pabaya boya wewe
 
Jf imevamiwa, watu hawana hoja wamebaki kulalanika tuu, tumebaki na taifa la walamishi
 
elibariki Kingu vipi mbona umetemwa? Unaumwa? Umezeeka? Au Utendaji wako haukuwa mzuri? Haujawekwa kwenye kundi la watakaopewa majukumu mengine. Umewekwa kwenye kundi la waliotemwa.
 
Last edited by a moderator:
Huyu ni DC na kada wa CCM ambaye pia katabia ka ufisadi amekuwa nacho tangu akiwa chuoni pale mzumbe nakumbuka alivyokula pesa za serikali ya wanafunzi (MUSO) akiwa kama Vice President. Jamaa huyu ni hatari sana kwenye issue ya pesa. Kuwa kada wa CCM naona yupo uwanja wa nyumbani kabisa.

Huyu jamaa alitoa ahadi kwenye kituo Fulani cha watoto yatima hapa sngda toka 2013 had I Leo hamna chochote
 
Hivi vyeo vya kupeana ndo maana tulitaka visiwepo kwenye katiba mpya maharamia wakafanya yao.
 
Kingu anapaswa kukuoa wewe kwani unamawivu hadi yanamwagika mtoto wa kile!

Nenda Igunga utakutana nae nitamwambia wee unatoa sana 713! Atakupokea kijana wake upate mini kabang bora kabisa!
Elibariki Kingu nadhani bado humu hujasaini out! Mkuu kumbe na kuwalawiti unalawiti? usipomkemea huyu mjinga daah mitasikitika sana
 
mim naona kama Kingu anajitahidi sana naona sijui why jakaya kamtosa
 
Labda tuhuma zimethibitika kuwa za kweli na bila ajizi Porofesa Dakta JM Kikwete kamfanyia kweli.


Hata huyo JK kawahi msifia Sana hadharani kuwa ni mchapakazi nashangaavkamtema ukute ni team Lowassa ndio maana katemwa coz haiingii akilini mwizi Wa cement kipozi apangiwe kazi nyingine Kingu atemwe......
 
Usirjari mh! Elibarik Kingu ndo mana ukawa DC ata kama mwizi we iba si ndo fursa kamatia vilvyo
 
sera ya sisiemu, kata mti panda mti inafanya kazi.... mwizi katolewa kaingizwa mporomosha matusi na ngumi kwa wazee aka Makondo aka Makonde
 
Back
Top Bottom