Mh. Beatrice Shelukindo aeleza ukweli kuhusu posho

Unakuwa kama ulimwengu wa Kambale ata anayezaliwa leo ana ndevu!
Ivi hakuna msemaji wa Bunge?
Wamezoea kuwaundia tume wenzao naona hapa inabidi wajiundie tume wenyewe kujichunguza!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Oh my God, yaleyale aliyoyasema retired fisadi kuwa ccm imejaa siasa uchwara, hizi ndo zenyewe, je! maisha yamepanda ni kwao peke yao au hata madereva wamepandishiwa? vipi kuhusu wale walinzi wa usalama wa taifa, wamepandishiwa nao? nasikia wao hupewa 55000/= per day, du inatia huruma kishenzi.

Tujiulize na upande wapili wa shillingi, wanafunzi wa UDOM wao ni mifugo hata kupanda gharama za maisha kusiwagushe? mbona wao bado wakilalamika wanatumiwa polisi kuwatuliza, kama polisi wako fare basi wakawatulize na waheshimiwa juu ya hili maana madhara yake ni zaidi ya madai ya wanavyuo.
 
Oh my God, yaleyale aliyoyasema retired fisadi kuwa ccm imejaa siasa uchwara, hizi ndo zenyewe, je! maisha yamepanda ni kwao peke yao au hata madereva wamepandishiwa? vipi kuhusu wale walinzi wa usalama wa taifa, wamepandishiwa nao? nasikia wao hupewa 55000/= per day, du inatia huruma kishenzi.

Tujiulize na upande wapili wa shillingi, wanafunzi wa UDOM wao ni mifugo hata kupanda gharama za maisha kusiwagushe? mbona wao bado wakilalamika wanatumiwa polisi kuwatuliza, kama polisi wako fare basi wakawatulize na waheshimiwa juu ya hili maana madhara yake ni zaidi ya madai ya wanavyuo.

Kudos, maana wanaongea utadhani wanaishi peke yao Dodoma!
 
c/o ANGEL MSOFFE uliona wenyewe kwa wenyewe wanapishana kauli ujui wanajua wazi kuwa walichofanya c kizuri na ni wizi,uonevu na dharau kwa wananchi sasa kila mbunge anajaribu kujisafisha.
 
eti shelukindo kaulizwa kasema asilimia 300 ni kidogo mpaka mtangazaji kashangaa,anataka kufananisha eti we mtangazaji unalipwa bei gani huko ujerumani? hao ndio wabunge tulio nao

Huyo Shelukindo sijui kama kweli ana exposure yakutosha ama anafanya makusudi kwakua amezoea kusema uwongo na dhamira yake imeshakufa ndani mwake. Japo alitaka kuonyesha wabunge wanapokea peanut compared to huyo mtangazaji bado nadhani kama ni kibosile anajua huyo mtangazaji huko huko Ujerumani aliko pamoja na maisha kuwa ghali package anayopata Mbunge wa Tanzania inaweza kuwa mara mbili ya gross salary yake; salaries yake yaweza kuwa kati ya Euro 2000-2500 kwa mwezi ambayo in average ni 5M ukikatwa kodi hapo usipime na hiki nadhani nikiwango cha juu anaweza kuwa chini ya hapo.

Sasa Mbunge wa Tanzania mwenye mzunguko kibao wa pesa kwakujipa upendeleo kwenye information za biashara za serikali na tender zake; anapewa mapokezi mazuri kila aendapo kwakupikiwa chakula na pengine kupewa malazi nje ya package yake ya hizo sitting allowances na mshahara huyo ana mlinganisha na mtu anaye ishi ujeruman ambpo apartment ndogo si chini ya Euro 600 kwa mwezi bado hajala etc inashangaza sana kama hao ndiyo wasemaji wetu wa kitaifa basi Mungu atusaidie maana kama mawazo yao yako hivyo na wana compare visivyo lingana (In absolute terms) kwa jinsi yoyote maana thamani ya pesa na ugali wa maisha unatofautiana kwajinsi isivyo elezeka. Hao hao utawasikia wakisema wenzetu pesa yao ina thamani watu wanapowaambia mbona hao wana fanya so and so; duuh! Masikini nchi yangu nani akukomboe?
 
Kama posho zinaongezewa kwa sababu maisha Dodoma yamepanda, na je hao wanaoishi Dodoma miaka yote, "posho" na mishahara yao imepnda lini?

......dodoma si tanzania???? aiji akili kusema kwamba dodoma maisha yamepanda tena gafla hivyo waheshimiwa wabunge waongezewe posho, mbona mikoa mingine hali ni mbaya tena sana tu lakini hakuna serikali ilichokifanya zaidi ya kuleta porojo za kisiasa.

hii yote ni kutokana na uzembe wa unaosababishwa na serikali pamoja na vyombo vinavyo husika ku-regulate bei. Ina maana sasa hivi posho na mishahara itakuwa inatolewa ki-mkoa!!!. In reality gharama zinatofautiana kulingana na mkoa husika, linganisha maisha ya Arusha na Kigoma au Iringa ni tofauti kabisa lkn hakuna aliyekwisha lalamika!

Inakuaje sasa wa-Bunge, tena wengine kazi yao ni kupiga usingizi Bungeni waongezwe posho?????, WIZI MTUPU.
 
......dodoma si tanzania???? aiji akili kusema kwamba dodoma maisha yamepanda tena gafla hivyo waheshimiwa wabunge waongezewe posho, mbona mikoa mingine hali ni mbaya tena sana tu lakini hakuna serikali ilichokifanya zaidi ya kuleta porojo za kisiasa.

hii yote ni kutokana na uzembe wa unaosababishwa na serikali pamoja na vyombo vinavyo husika ku-regulate bei. Ina maana sasa hivi posho na mishahara itakuwa inatolewa ki-mkoa!!!. In reality gharama zinatofautiana kulingana na mkoa husika, linganisha maisha ya Arusha na Kigoma au Iringa ni tofauti kabisa lkn hakuna aliyekwisha lalamika!

Inakuaje sasa wa-Bunge, tena wengine kazi yao ni kupiga usingizi Bungeni waongezwe posho?????, WIZI MTUPU.

Hata sasa posho hutolewa kulingana na hadhi ya sehemu kama ni wilaya mkoa manispaa ama jiji.
 
"Rais alikataa kasaini maombi ya ongezeko la posho" halafu washaanza kulipana? What a contradiction!!!!!
 
Sasa naanza kuwa na wasiwasi na usikivu wa masikio yangu kama si uelewa wangu, kwenye ile taarifa ya habari ya saa Mbili usiku ITV nilimwona na kumsikia huyu bibi Nanihii akitamka pamoja na mambo mengine kwamba hizi posho zilianza kulipwa kwenye mkutano ulioisha na kwamba Zitto Kabwe hakuweza kupewa kwasababu ya kanuni zinazotoa sifa ya kuzipata ni lazima Mbunge awe amesaini asubuhi na jioni wakati huo Zitto asingeweza kwani hakuwepo. Leo hii huyu Shelukundu anatwambia tofauti. Je tumwamini nani!
Inaweza kuwa ni tofauti ya lugha tu....kuna wale wanazungumza kulipwa kwa maana ya kuwa 'accrued' (katika lugha ya kihasibu) na wengine wanazungumzia kulipwa katika lugha ya kawaida(cash basis)! Otherwise sioni katika hali ya kawaida ni vipi kunaweza kuwa na tofauti katika suala ambalo by its nature ni very factual. Hawana hata soni?
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Nimesikiliza hiki kipinda, kingekuwa kizuri sana kama kungekuwa na mwakilishi wa upinzani (chadema) ili aweze kujibu mipasho iliyokuwa ikirushwa na wapambe wa ccm
 
Kama posho zinaongezewa kwa sababu maisha Dodoma yamepanda, na je hao wanaoishi Dodoma miaka yote, "posho" na mishahara yao imepnda lini?
Tatizo la wabunge wa CCM wanatuona sisi ni wajinga kwa vile tumewapa kura, wanasahau kuwa inawezekana wao ni wajinga zaid yetu. Wanaongea bila kufikiri then neno likishawatoka ndo wanaanza kufikiria walichoongea. Mpaka sasa hatujui nani muongo na nani mkweli. Spika anasema aliwalipa wabunge posho mpya, wabunge wanasema hawajalipwa posho mpya vile Rais kakataa kuzipitisha. Kama ndivyo Makinda hizo hela alizolipa alipata wapi??? Kama Makinda anasema alilipa posho mpya na huyo shellukindo hakupata sa siaende akadai????Yani majitu maongo hayaachagi uongo hadi uzeeni, nachukia sana majitu maongo. Mana najua jitu likishakuwa ongo hilo hata umalaya linafanya. Ndugu zangu hili suala tuliache lipate oxygen tu majibu yatapatikana na haya majitu maongo tuyabaini tu siku si nyingi.
 
Tatizo la wabunge wa CCM wanatuona sisi ni wajinga kwa vile tumewapa kura, wanasahau kuwa inawezekana wao ni wajinga zaid yetu. Wanaongea bila kufikiri then neno likishawatoka ndo wanaanza kufikiria walichoongea. Mpaka sasa hatujui nani muongo na nani mkweli. Spika anasema aliwalipa wabunge posho mpya, wabunge wanasema hawajalipwa posho mpya vile Rais kakataa kuzipitisha. Kama ndivyo Makinda hizo hela alizolipa alipata wapi??? Kama Makinda anasema alilipa posho mpya na huyo shellukindo hakupata sa siaende akadai????Yani majitu maongo hayaachagi uongo hadi uzeeni, nachukia sana majitu maongo. Mana najua jitu likishakuwa ongo hilo hata umalaya linafanya. Ndugu zangu hili suala tuliache lipate oxygen tu majibu yatapatikana na haya majitu maongo tuyabaini tu siku si nyingi.


Utata mtupu! Hata wao CCM si umesikia wanavyo shangaa posho hiyo? Msikilize Nape na makada wa chama hicho eti nao hawaelewi chochote! Nafikiri haya ni mazingaombwe jamani; ebu tuendelee kusikiliza kinachoendelea.
 
Back
Top Bottom