charty
JF-Expert Member
- Oct 28, 2013
- 7,460
- 6,003
Hiyo noma sana mwanaume hadi unachana neti kwa magaga,hahaa haipendezi kabsa.Madam mwanaume ni kukauka kau kau na kaharufu ka jasho jasho kwa umbali pia ni lazima. [emoji38]
Hiyo noma sana mwanaume hadi unachana neti kwa magaga,hahaa haipendezi kabsa.Madam mwanaume ni kukauka kau kau na kaharufu ka jasho jasho kwa umbali pia ni lazima. [emoji38]
ahahahNi shabiki wa mikia anasubiri pambano la watani wa jadi!
Mguu mtamu huo na hivyo vinyweleo kama pini.....
Sio james delicious huyo mkuu.....mbona mguu smoothMguu wa mwanaume nimesitiri sura yake mkuu!
Kwani mguu wa mwanaume unatakiwa kuwa vipi?! Nauona kawaida tuu aki kulingana na umbo lake!!
Mkuu hii picha yangu uliipata wapi
Mkuu hii picha yangu uliipata wapi
Hahaaa so mchezo kuikuta picha yang humMkuu,kwa Savimbi kiongozi wangu. Uliipotezea kule?.
Hahaaa so mchezo kuikuta picha yang hum
Umeuona mguu wa mwanaume huu???😀😀😀😀Kwani mguu wa mwanaume unatakiwa kuwa vipi?! Nauona kawaida tuu aki kulingana na umbo lake!!