Mguu wa mwanaume wa Dar

Jackal

JF-Expert Member
Apr 10, 2012
9,554
12,674
FB_IMG_1524896949725.jpg
 
Huo sio mguu wa mwanaume wa Dar. Ni mguu wa mtu ambaye alikimbia umande. Hakuandika vya kutosha kwenye madaftari so bado kiu ya kuandika andika na kuchora haijaisha na wengi ndio hawa wanamalizia kiu hiyo kwenye miili yao.
 
Me nikajua ni ule "mguu" !,. Kwa maana ingekuwa patashika kwa wanaume wa dar
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom