Mguu wa mwanaume wa Dar

Mguu wa mwanaume wa Dar

Jackal

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
10,258
Reaction score
14,102
FB_IMG_1524896949725.jpg
 
duuuuuuuuuuuuh
Ameweka tattoo ya simba ila haina uhalisia na maisha yake ukute hana nguvu kama za simba
Ni shabiki wa mikia anasubiri pambano la watani wa jadi!
 
Huo sio mguu wa mwanaume wa Dar. Ni mguu wa mtu ambaye alikimbia umande. Hakuandika vya kutosha kwenye madaftari so bado kiu ya kuandika andika na kuchora haijaisha na wengi ndio hawa wanamalizia kiu hiyo kwenye miili yao.
 
Huyo simba hana maana yoyote hapo bora angejichorea kipepeo tu.
 
Me nikajua ni ule "mguu" !,. Kwa maana ingekuwa patashika kwa wanaume wa dar[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom