That's a very easy and weak move for a president to do, even a kindergarten girl if chosen to be president of this ill fated country blessed with a very high significant and overwhelming low IQ citizens can perform such political circus like visiting those poor folks in hospitals.
Tumechoka na mbwembwe za uigizaji. Mmefyeka na kukomba hela kwenye hazina ambazo hizo hizo zingenunuliwa vitanda na T scan. Mabilion ya walipa kodi yameteketea kwenye kampen yako kumdhibiti tu mtu mmoja. Bongo baaadoooooooooo yani badooo.
Ila uzuri wa bongo ukiwa kiongoz ni rahis sana kutawala nakuwawin watu kisaikolojia na kujizolea sifa za kijinga kwa mambo madogo madogooooooo ambayo hata joti, nyamayao, mpoki, mchizmox na kingwendu wakipewa urais wanaweza tu kufanya tena kwa weledi uliotukuka.
JK naye alijizolea sifa hivi hivi kwa mambo madogo madogo kumleta maximo ziara za ghafla hospitalin kuhudhuria misiba kwa fujo na kaSi ya ajab, kuwalinda maalbino kwa mdomo, kuwakingia kifua wanafunzi wakike wasipate mimba kwa mdomo na mzahaha
Si tupo hapa JF hamna madiliko yeyote yatakuwepo. Umaamuma wetu uliokubuhu utatuponza milele[/QUOTE
Acha tabia za kijinga na za kike ww!! alichokifanya kibaya rais hapo ni kipi? ulitaka akawatembelee matajir apolo hospital? unawaza kwa kutumia nn wewe?? vitu vingne bora mkaage kimya tu!!