Mgonjwa aliyefanya ziara

Mgonjwa aliyefanya ziara

Kwenda kuzungumza na vyombo vya habari ndiyo kupona?
Au unadhani wagojwa wote bongo zao ni gonjwa na midomo yao haiwezi kuongea?
Kiakiliccm kuongea na vyombo vya habari ama kusafiri inamaanisha kupona....
Sishangai kuona mtoa tamko yule kuwa hata yeye ni mgonjwa na alipaswa kuwa hospitali akipata matibabu lakini ndio hivyo (patajatumika kisingizio "alikuwa mgonjwa") msameheni
 
Mimi siungi mkono alichokifanya kwa ubinadamu lakini nikija kwa ulichokisema hapa unadanganya maana ile ilikua ni ziara ambayo walioitayarisa walimshauri vibaya Lissu. Kama mambo yangeenda kama walivyotarajia ilitakiwa iwe ziara ya mafanikio lakini nijuavyo haikua ya mafanikio. Hivyo ulichokisema ni uongo Lissu hakualikwa ila alidanganywa na baadhi ya rafiki zake ama viongozi wake. Alitakiwa kutumia akili. Lissu atambue kuwa hapigwi vita na CCM tu bali hata huko upinzani ni tishio hivyo walimtengenezea mazingira ambayo yalishusha (polls) ambazo zilikua juu kabla ya ziara.

hili liwe fundisho kwa baadhi ya wapinzani kujitahidi kuwa out smart ccm na serikali yao ama sivyo hawatawaweza katu.

Pole sana mheshimiwa Lissu

Lissu ni tishio hata huko upinzani, Lowassa angepewa nafasi ya kugombea? Lissu anapigwa vita na jiwe, haya yanayomkuta ni mamlaka ya jiwe kutumika vibaya kumafanyizia yoyote anaye mchallange. Kwa Afrika ni kawaida sana mtawala kutumia madaraka yake kutekeleza utashi wake. Japo jeuri hii ni ya muda.
 
Tulia wewe kijana, utamnyoosha nani wewe? Hii ni nchi sio genge la wahuni watukana matusi. Omba omba akitua Bongo ana kesi ya kujibu msaliti mkubwa

Yaani kwa Afrika kesi za kubambika ni jambo la ajabu? Kesi hiyo itakuwa ya kwanza kwake? Kwa taarifa yako ana kesi zaidi ya moja, acha hizo anazozisimamia. Anaweza hata kufungwa ila sio kwa makosa bali kwa utashi wa mkulu.
 
Wewe kama wewe na taifa kwa ujumla tumefaidika na nini kwa tundu lisu kuvuliwa ubunge. Zaidi ya hasara ya kurudia uchaguzi wa jimbo hiyo pesa si wangekuja kutulipa wakulima wa korosho pesa yetu kuliko ushenzi wanaoufanya
Kwanza nianze kwa kutambua kuwa Bunge lina Sheria, Kanuni na taratibu zake ambazo kila Mbunge ni jukumu lake kuzitii.

Ndugu Lissu tulimtambua akiwa kwenye matibabu baadae tukaona anafanya ziara katika mataifa mbalimbali na kutoa tuhuma kwa Serikali jambo ambalo hakuwai kutoa ushaidi kwa yale aliyokuwa anayasema tena akiwa mwanasheria.

Kwa tujuavyo sisi Raia tulidhani alipaswa kabla ya kuanza ziara kuandika barua kwa Spika kutaarifu Bunge kuwa hata mkiniona nazurura bado naendelea na matibabu jambo ambalo sidhani kama lilifanyika.

Lissu tulidhani ungetimiza wajibu wa kisheria kwa kujaza taarifa Muhimu kwakuwa tayari ulikuwa umepona kiasi cha kufanya ziara lakini hukufanya hivyo.

Pole sana Wakili wangu lakini hili ni fundisho la usaliti kwa Taifa lako hao tunaowaona wa maana kamwa hawachafui Serikali zao nje ya Nchi yao na wanafata na kuheshimu Sheria.

Hii ni Nchi na Taifa huru hacha kujichetua
 
Kwanza nianze kwa kutambua kuwa Bunge lina Sheria, Kanuni na taratibu zake ambazo kila Mbunge ni jukumu lake kuzitii.

Ndugu Lissu tulimtambua akiwa kwenye matibabu baadae tukaona anafanya ziara katika mataifa mbalimbali na kutoa tuhuma kwa Serikali jambo ambalo hakuwai kutoa ushaidi kwa yale aliyokuwa anayasema tena akiwa mwanasheria.

Kwa tujuavyo sisi Raia tulidhani alipaswa kabla ya kuanza ziara kuandika barua kwa Spika kutaarifu Bunge kuwa hata mkiniona nazurura bado naendelea na matibabu jambo ambalo sidhani kama lilifanyika.

Lissu tulidhani ungetimiza wajibu wa kisheria kwa kujaza taarifa Muhimu kwakuwa tayari ulikuwa umepona kiasi cha kufanya ziara lakini hukufanya hivyo.

Pole sana Wakili wangu lakini hili ni fundisho la usaliti kwa Taifa lako hao tunaowaona wa maana kamwa hawachafui Serikali zao nje ya Nchi yao na wanafata na kuheshimu Sheria.

Hii ni Nchi na Taifa huru hacha kujichetua
Swadakta!
 
Mbona wahanga wa ajali huwa wanaalikwa hadi studio za televisheni kuelezea yaliyowakuta huku wakiwa bado wanajitibu.

Lissu nae alialikwa kwenda kuelezea ajali iliyomkuta nje ya kumbi za Bunge tukufu.
Kualikwa sawa, kutoa taarifa sehemu anayolia hapana?, acha ale jeuri yake
 
Kualikwa sawa, kutoa taarifa sehemu anayolia hapana?, acha ale jeuri yake
Mbona Tanzania diaspora walimualika BBC VOA wote walimualika chuki zenu tu ila kumbuka ndio kwaanza movie inaanza kwenu ni very bad timming mmeifanya kimuhemko zaidi ili kufukia ile aibu ya Misri ila ngojeni
 
Kwanza nianze kwa kutambua kuwa Bunge lina Sheria, Kanuni na taratibu zake ambazo kila Mbunge ni jukumu lake kuzitii.

Ndugu Lissu tulimtambua akiwa kwenye matibabu baadae tukaona anafanya ziara katika mataifa mbalimbali na kutoa tuhuma kwa Serikali jambo ambalo hakuwai kutoa ushaidi kwa yale aliyokuwa anayasema tena akiwa mwanasheria.

Kwa tujuavyo sisi Raia tulidhani alipaswa kabla ya kuanza ziara kuandika barua kwa Spika kutaarifu Bunge kuwa hata mkiniona nazurura bado naendelea na matibabu jambo ambalo sidhani kama lilifanyika.

Lissu tulidhani ungetimiza wajibu wa kisheria kwa kujaza taarifa Muhimu kwakuwa tayari ulikuwa umepona kiasi cha kufanya ziara lakini hukufanya hivyo.

Pole sana Wakili wangu lakini hili ni fundisho la usaliti kwa Taifa lako hao tunaowaona wa maana kamwa hawachafui Serikali zao nje ya Nchi yao na wanafata na kuheshimu Sheria.

Hii ni Nchi na Taifa huru hacha kujichetua
Nawe ni msomi????
 
Kwanza nianze kwa kutambua kuwa Bunge lina Sheria, Kanuni na taratibu zake ambazo kila Mbunge ni jukumu lake kuzitii.

Ndugu Lissu tulimtambua akiwa kwenye matibabu baadae tukaona anafanya ziara katika mataifa mbalimbali na kutoa tuhuma kwa Serikali jambo ambalo hakuwai kutoa ushaidi kwa yale aliyokuwa anayasema tena akiwa mwanasheria.

Kwa tujuavyo sisi Raia tulidhani alipaswa kabla ya kuanza ziara kuandika barua kwa Spika kutaarifu Bunge kuwa hata mkiniona nazurura bado naendelea na matibabu jambo ambalo sidhani kama lilifanyika.

Lissu tulidhani ungetimiza wajibu wa kisheria kwa kujaza taarifa Muhimu kwakuwa tayari ulikuwa umepona kiasi cha kufanya ziara lakini hukufanya hivyo.

Pole sana Wakili wangu lakini hili ni fundisho la usaliti kwa Taifa lako hao tunaowaona wa maana kamwa hawachafui Serikali zao nje ya Nchi yao na wanafata na kuheshimu Sheria.

Hii ni Nchi na Taifa huru hacha kujichetua
Uko sawa sheria ni sheria wasilitazame kimoyo wa huruma
 
Kuna tatizo mahala fulani... wagonjwa huwa tunaona wagonjwa wamefanyiwa upasuaji hata kwenye hospitali zetu wakifanya mazoezi.... (ya kimwili na kujiweka sawa kiakili) labda kwa sababu TL amekwenda kufanya mazoezi mbali kuliko wauwaji walivyotarajia.... labda kwa sababu TL ametibiwa hospitali bora kuliko zi apollo ambazo huaminiwa na malofa...

Ukweli huwa haujifichi: ROHO MBAYA, CHUKI, CHOYO, UHASIDI, FITNA NA KUJIPENDEKEZA ILI MATUMBO YAJAE HAVITATUFIKISHA KOKOTE.

KUCHE KUSIKUCHE TUNATENGENEZA TAIFA LA OVYO LITAKALOKUWA NA WATU WA OVYO
TAIFA AMBALO WANAOONEKANA WAOGA LEO WATAKUWA WAOVU KESHO.

TAIFA AMBALO WAZAZI WANACHEKA LEO KWA SABABU WANA RAHA NA FURAHA WANA WAO WATALIA NA KUSAGA MENO MAANA WANAOWALISHA LEO HAWATAISHI MILELE!

KUNA KILA DALILI VISASI VINGI TUTAVIONA HUKO MBELE YA SAFARI TUOMBE UZIMA TU!
Kama mazoezi angeanzia na kujaza forms hizo
 
Kama mazoezi angeanzia na kujaza forms hizo
Uko vizuri waombe wakuongezee posho...
Swali la kawaida: wakati anaondoka nchini form zake za uhamiaji zilijazwa na kutiwa sahihi na nani? Ndege iliyombeba ilipewa kibali na nani? Tukipata majibu hapo nadhani tunaweza kujadili zaidi...
Kinyume na hapo endelea kujilisha upepo "utakumbukwa na wakubwa..."
 
Kama mazoezi angeanzia na kujaza forms hizo
Nimeuliza swali nalirudia tena zile "immigration declarations form" zilijazwa na nani wakati mh. TL anaondoka Dodoma? Mkinipatia jibu hapo tunaweza kujadili....
 
Alikutaarifu kuwa anafanya zuara unajua maana ya neno ziara au unasukumwa na ushoga mlionao hapo ccm pamoja na mapunga wenzio mliopo hapo ccm. Subirin tuwanyooshe na mtanyooka tu.
Kumbe ilikuwa ni nini mkuu?
Kuna nyuzi kibao humu mkijichetua mara atakuwa ziara Marekani mara ujerumani, au unataka tuweke hizo nyuzi hapa?
 
Back
Top Bottom