Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,347
Microphone Israel uko wapi juu ya microphone?
Ukitembea kwa kusaidia na gongo ndio huwezi kuandika barua?? Kama aliweza kufanya media tour kutoka bara moja hadi jingine, kutoka nchi moja hadi nyingine, kwa nini ashindwe kutoa taarifa zake bungeni? Je, CHADEMA na wao walikuwa wagonjwa hadi wakashindwa kutoa taarifa rasmi bungeni???..lakini si alionekana akitembea kwa kutumia MAGONGO?
..na CCM walikuwa wakimcheka kuwa amekuwa amekuwa kilema!
..na katika ziara hiyo TL alieleza kuwa angerejea Ubelgiji kwa operation ambayo ingekuwa ya mwisho ktk mguu wake.
..mimi nadhani Spika alipaswa kuwasiliana na TL kabla ya kuchukua hatua ya kumfukuza.
..Spika alipaswa kumsikiliza TL ili kujiridhisha kama ni mtoro, au kuna matibabu anaendelea nayo.
Kwanza nianze kwa kutambua kuwa Bunge lina Sheria, Kanuni na taratibu zake ambazo kila Mbunge ni jukumu lake kuzitii.
Ndugu Lissu tulimtambua akiwa kwenye matibabu baadae tukaona anafanya ziara katika mataifa mbalimbali na kutoa tuhuma kwa Serikali jambo ambalo hakuwai kutoa ushaidi kwa yale aliyokuwa anayasema tena akiwa mwanasheria.
Kwa tujuavyo sisi Raia tulidhani alipaswa kabla ya kuanza ziara kuandika barua kwa Spika kutaarifu Bunge kuwa hata mkiniona nazurura bado naendelea na matibabu jambo ambalo sidhani kama lilifanyika.
Lissu tulidhani ungetimiza wajibu wa kisheria kwa kujaza taarifa Muhimu kwakuwa tayari ulikuwa umepona kiasi cha kufanya ziara lakini hukufanya hivyo.
Pole sana Wakili wangu lakini hili ni fundisho la usaliti kwa Taifa lako hao tunaowaona wa maana kamwa hawachafui Serikali zao nje ya Nchi yao na wanafata na kuheshimu Sheria.
Hii ni Nchi na Taifa huru hacha kujichetua
Sawa kabisa ni uko sawaUkitembea kwa kusaidia na gongo ndio huwezi kuandika barua?? Kama aliweza kufanya media tour kutoka bara moja hadi jingine, kutoka nchi moja hadi nyingine, kwa nini ashindwe kutoa taarifa zake bungeni? Je, CHADEMA na wao walikuwa wagonjwa hadi wakashindwa kutoa taarifa rasmi bungeni???
Hakuna justifications hapa zaidi ya kibri cha Lissu, hata uongozi wa CDM ulikuwa unajua Lissu anatakiwa kutoa taarifa bungeni ila waliona kufanya hivyo ni kama “kujishusha”. Sasa acha wale matunda ya kibri yao.
Bunge kuna wengi ambao wanakuwa mahtuti hata zaidi ya Lissu, ila kwa kuwa hawana kibri watafikisha taarifa hata kwa kutumia uongozi wa chama au viongozi wao bungeni. Basi tuendelee kumjaza kibri huku tukimuita kiongozi wa myoyo yetu![]()
Nini kilimzuia kujanza fomu za tamko la mali?..lakini si alionekana akitembea kwa kutumia MAGONGO?
..na CCM walikuwa wakimcheka kuwa amekuwa amekuwa kilema!
..na katika ziara hiyo TL alieleza kuwa angerejea Ubelgiji kwa operation ambayo ingekuwa ya mwisho ktk mguu wake.
..mimi nadhani Spika alipaswa kuwasiliana na TL kabla ya kuchukua hatua ya kumfukuza.
..Spika alipaswa kumsikiliza TL ili kujiridhisha kama ni mtoro, au kuna matibabu anaendelea nayo.
Ndugu tuache unafiki Mgonjwa anaalikwa kwenye makongamano..Kwenda kuzungumza na vyombo vya habari ndiyo kupona?
Au unadhani wagojwa wote bongo zao ni gonjwa na midomo yao haiwezi kuongea?
Nini kilimzuia kujanza fomu za tamko la mali?
Ina maana wewe huoni tofauti ya kuzungumza na waandishi wa habari na kutoa taarifa rasmi ofcn.Hopeless argument to come from only a very hopeless mind.
Mleta hoja ni mwendawazimu mwingine. Kigwangala alipopata ajali, siku ya pili tu alizungumza na vyombo vya habari. Je, alikuwa amepona?