Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Leo jumanne tarehe 27/4/2010 ndiyo siku ambayo wahadhiri wote wa vyuo vya umma nchini wanaanza mgomo wao wakiwa na madai mbali mbali. Kulikuwa na wasiwasi kwamba hawa jamaa wanatingisha kiberiti. Pia nasikia serikali ilifanya juhudi haramu kuwahujumu ikiwemo kufunga mitandao ya internet katika vyuo. Je, mgomo umefanyika kama ilivyopangwa? Na je, serikali itawasikiliza?