BabaJunior
Member
- Nov 20, 2012
- 40
- 15
Sasa ni kama mwezi wa nne mishahara ya wafanyakazi wa Chuo Kikuu Cha Dodoma inachelewe. Kuna habari zisizo rasmi kuwa watu wanaohusika na mishahara wanachelewe kupeleka payroll hazina ndio maana UDOM wanakuwa wa mwisho kulipwa kila mara. Kuna habari za chinichini kuwa wafanyakazi mda wowote watagoma. Huna sababu ya kufanya kazi halafu inapokuja issue ya malipo inakuwa shida. UDOM KUNA MATATIZO MAKUBWA. Mpaka tarehe ya leo (3/12/2012) hakuna dalili kabisa za kulipwa. Kwa stahili hii unatarajia mtumishi atafanya kazi yake kwa usahihi???? Hii ndio hali ilivyo, waalimu wamechoka kuliko wanafunzi.