Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,200
Viongozi wa tucta wajinga na nchi hii itaendelea kuendeshwa kibabe milele.raisi kuwatisha kidogo wamenywea.raisi anakwambia mshahara wa 315000 haiwezekani laniki bilioni 16 ya chai kwenye wizara inawezekana.kwa stahili hii bora ccm watangazwe rasmi kuwa wafalme wa nchi kama wananchi hatuna sauti.sababu kubwa ya ccm kutoheshimu kura ya wananchi ni kwa vile inanunulika na hela wanayo ya kununua.kama kura ingekuwa haununuliki tanzania basi raisi ange heshimu malalamiko ya wananchi waliomuajiri.