tatizo hapa ni TRA kuwa wababe na kutotaka kutoa elimu ya kutosha kwa hawa wafanyabiashara. watoke maofisini na wakafanye utafiti kwa nini hiki kitu kinapingwa, na waliwahusisha walipa kodi kabla hawajaleta huu mfumo kandamizi?
wanaacha mapapa makubwa yanabadili majina makubwa ya mahoteli kila siku na kuyapa grace periods zisizokuwa na tija kwa taifa badala yake wanahangaika na hawa wadogo. Ni lini walitoa grace periods kwa wafanyabiashara wanaochipukia hapa nchini. waacheni wagome tu
wanaacha mapapa makubwa yanabadili majina makubwa ya mahoteli kila siku na kuyapa grace periods zisizokuwa na tija kwa taifa badala yake wanahangaika na hawa wadogo. Ni lini walitoa grace periods kwa wafanyabiashara wanaochipukia hapa nchini. waacheni wagome tu