Mgomo wa wafanyabiashara nchi nzima kesho

Mgomo wa wafanyabiashara nchi nzima kesho

Hivi kwa nini mfanya biashara atumie mtaji wake kununua mashine? Huwa sielewi. Hajaomba hiyo mashine. Mwenye shida nayo ni TRA, inamlazimisha mfanyabiashara aisaidie kununua! TRA kama mnawalazimasha wafanya biashara kwakopesha hizo mashine, zinunueni toka kwao kwa riba ambayo wafanyabiashara wataamua ninginevyo nunua mashine za kwenu na sambaza nchi nzima muhowahold responsible kwa kutozitumia. Ubabe kwenye mitaji yao hausaidii !!!!:A S-confused1:

Well said.
 
Msimamo wa JwT nchi nzima kuanzia sasa ni kutoiunga mkono ccm ktk swala katiba mpya na uchaguzi 2015 .
 
Si kweli anayenunua machine ni mfanya biashara kwani ndiye anayetoa cash yake hata kama TRA wataikata kwenye kodi that is another issue. Hii inaathiri cash flow kwani ni lazima atumie mtaji wake bila sababu eti kwa sababu mna nguvu ya kumlazimisha kununua mashine. Kama mnaona rahisi nunueni mashine kisha kazi yenu iwe ni kudai kodi badala ya kumsumbua mfanya biashara. Acha kuwalazimisha matumizi ambayo hawajayapanga. Mnataka kodi, invest cash kwenye mashine na msiwasumbue wafanya biashara. Kama hamna bajeti ya kununua mashine ilo ni tatizo lenu na si la wafanya biashara. Hoja yangu haina uhusiano na hoja yako ya kulipa au kutokulipa kodi.
 
hakuna kitu hamlipi kodi ukiacha Wafanyabiashara wa mkoa wa Kilimanjaro nchi nzima wanaojiita wafanyabishara wamekataa EFD sasa unajiuliza nchi itaendeshwa vipi? na mnalipa vipi kodi bila ya rekodi kutoka EFD machines? Inabidi tuwaite wezi sasa maana hawaendani na jina biashara!

Acha ushamba na upuuzi uliopitiliza, Kabla ya hizo takataka zenu EFD kodi ilikusanywaje? Mradi wa kitapeli tu hakuna lolote wezi wakubwa nyie na waliokutuma. Msione tumenyamaza mkadhani hatuelewi uhuni wenu na mashine zenu za wizi!
Tukimaliza tunahamia Tanesco wanavyowaibia wateja tutawavua nguo mwaka huu haponi mtu wezi nyie
 
Back
Top Bottom