uaminifukazi
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 1,481
- 928
Dunia iko speed haisimami. Efd ikatae leo ila kesho utaitumia, haijalishi itakua ni ccm ileile, chadema, cuf au ukawa. Mambo mengine ni kama sera za Dunia zinazoratibiwa na vyama vya siri. Hivyo yakupasa usiziangalie kwa mtizamo finyu wa ki-nchi bali toka nje ya box mambo mengine yapo Kidunia zaidi.
Ni sawa na kukataa ushoga leo alafu ukaja kuukubali kesho.. Mseveni shahidi. Ile sheria kali ya kuwaadhibu mashoga muulize kaipotezea wapi.
Hii Dunia inaongozwa kwa fact sio pelepele za kariakoo kwa wapemba. Kuna mambo mengi yanafanyika kila siku hapa Duniani kwa mwanadamu wa kawaida huwezi kuyaona.
Ni sawa na kukataa ushoga leo alafu ukaja kuukubali kesho.. Mseveni shahidi. Ile sheria kali ya kuwaadhibu mashoga muulize kaipotezea wapi.
Hii Dunia inaongozwa kwa fact sio pelepele za kariakoo kwa wapemba. Kuna mambo mengi yanafanyika kila siku hapa Duniani kwa mwanadamu wa kawaida huwezi kuyaona.