Umesema kweli. Ni aibu tupu bunge kuwa wazi hata wakati huu wa bajeti-hatumwelewi spika kuona kama ni hali ya kawaida, anaongoza viti au watu? Kuwe na utaratibu wa kuhudhuria na kuendelea kuwepo kikaoni mpaka mwisho. Spika analinda maslahi ya chama chake na kusahahu kuwa anaongoza mhimili mwingine wa dola. POLE BINT Makinda