Kizamani
JF-Expert Member
- Sep 12, 2011
- 418
- 108
Katika kutafutatafuta channel ya kuangalia, wakati nikimsubiri President kuhutubia taifa kama walivotangaza ITV na amabayo sijajua kama kaingia mitini au vipi, nimefungua channel ya ATN, nikamwona huyu mhindi akisema " repent for the sin of doctors, for their strike" nikajiuliza au huyu kakosa kitu cha kuhubiri. Mimi huyu baba na mkewe siwaamini amini sana kwani kuna ishu nilidili nao personally na niliona walivokuwa wanasema uongo kwenye jambo tulilokuwa tunalishughulikia.
Wito:
Kama ni mhubiri na huna jambo la kuhubiri ni vema usiseme tu kwa sababu unataka kusema.
Hayo ni maoni yangu. Je kwako wewe?
Wito:
Kama ni mhubiri na huna jambo la kuhubiri ni vema usiseme tu kwa sababu unataka kusema.
Hayo ni maoni yangu. Je kwako wewe?