Mgomo wa madaktari ni batili: Askofu

hiizi dini za baharini bana
Askofu mwenyewe batili nani kamslimisha uaskofu??tungeanza na hapa kwanza
 
Acha kukurupuka na hoja nziiito ukapanda presha bure, una ugeni na Malaria Sugu? Kapigwa ban juzi hapa sasa msioweza kumtambua kwa maneno yake mtachangia mada hasaaaa. Ukitafakari utabaini kuwa mtu ukipita nje ya kanisa huwezi kujua kama anayehubiri ndani ni ASKOFU, PAROKO au PADRE. Usiwe mwepesi hivyo kukamatwa na huyu juha

Na mimi sijachangi kwasababu imetoka kwa askofu..kama kauli hii inatoka kanisani tu,bila kujali inasemwa na nani kwangu mimi siungi mkono..kwa hiyo hata kama angekuwa amesikia barabarani tu bado ni hoja...labda uniambie ameipika maana si rahisi mtu kupata muda wa kukaa na kusikiliza mtu akiongea kupitia dirishani kama akuwa na nia ya dhati kusikiliza hayo maongezi....
 
Haahaaa! Askofu asiye na jina wala kanisa must be a fictious askofu.

Fix kubwa sana, haiwezekani upite tu karibu ya kanisa usikie yanayosemwa ndani,makanisa hayana vipaza sauti nje kama ilivo kwa misikiti ambayo hata mtu aliye 50 meters away atasikia yanayosemwa ndani!
 
Leo asubuhi nilipita karibu na kanisa lilipo karibu kabisa na bandari ya Dar.
Askofu ambae akiongoza misa hiyo aliwashtumu sana madaktari wale wanagoma, alisema si vyema kugoma huku wananchi wakitabika. alidai Taaluma ya Utabibu ni huruma zaidi badala ya kipato na anasa. aliwalaumu zaidi hasa wale wa Hospitali za dini.
alisema ni vigumu kuamini hawa madaktari waliozaliwa katika ukiristo,kukulia na kulelewa katika ukiristo leo wanaingia kwenye mtego huu wa hospitali za umma na alidai sijui wana ajenda gani na binaadamu wenziwao.
alidai serekali inatoa fedha nyingi kwa taasisi hizi kupitia MOU lkn leo hii wanagoma kushindika kulipwa mishahara mikubwa.

aliomba Serekali kuwachulia hatua kali madaktari wote waliokuwa chanzo cha mgomo

Kama ni kweli huu ni msimamo wa askofu, ingekuwa busara kujua msimamo wake juu ya mambo makubwa ya nchi hii mfano-uongozi wa nchi hii unaoishi peponi wakati wananchi wakitaabika na kama aliwahi kulisemea lini hilo au huwa anapiga cheers nao.
 
Back
Top Bottom