Mgomo wa madaktari ni batili: Askofu

thatha

JF-Expert Member
Apr 29, 2011
15,340
1,566
Leo asubuhi nilipita karibu na kanisa lilipo karibu kabisa na bandari ya Dar.
Askofu ambae akiongoza misa hiyo aliwashtumu sana madaktari wale wanagoma, alisema si vyema kugoma huku wananchi wakitabika. alidai Taaluma ya Utabibu ni huruma zaidi badala ya kipato na anasa. aliwalaumu zaidi hasa wale wa Hospitali za dini.
alisema ni vigumu kuamini hawa madaktari waliozaliwa katika ukiristo,kukulia na kulelewa katika ukiristo leo wanaingia kwenye mtego huu wa hospitali za umma na alidai sijui wana ajenda gani na binaadamu wenziwao.
alidai serekali inatoa fedha nyingi kwa taasisi hizi kupitia MOU lkn leo hii wanagoma kushindika kulipwa mishahara mikubwa.

aliomba Serekali kuwachulia hatua kali madaktari wote waliokuwa chanzo cha mgomo
 
Habari yako MS? mZIMA?...Siku hizi unajiita tena Dogodogo?
Kanisa lililopo jirani na bandari ndiyo nini hiyo?
Ulijuaje aliyekuwa anahubiri ana cheo cha Askofu...au unafurahisha jamvi?
Acha umbea mkubwa mwenzangu~!
 
Kanisa halina jina, hata askofu pia?
Na umejuaje kuwa anayezungumza ni Askofu ilhali hukuingia ndani?
 
Mameno matupu hayata saidia kitu, wapeni pesa wanayohitaji kwani maisha magumu kwa wote si wabunge peke yao

Vipi maaskof wa kenya walisemaje kipindi cha mgomo huko kenya? Hii ndio dawa ya watawala wasiotumia akili kufikiru
 
Habari yako MS? mZIMA?...Siku hizi unajiita tena Dogodogo?
Kanisa lililopo jirani na bandari ndiyo nini hiyo?
Ulijuaje aliyekuwa anahubiri ana cheo cha Askofu...au unafurahisha jamvi?
Acha umbea mkubwa mwenzangu~!

Haahaaa! Askofu asiye na jina wala kanisa must be a fictious askofu.
 
Madaktari hawajaomba ushauri wa maaskofu. Sana sana huyu Askofu alitakiwa looong time ago waisharuri serikali waboreshe huduma za afya pamoja na maslahi ya madaktari. Hawajafanya hivyo sasa wanataka kumuuingiza Yesu kwenye huu uzembe wa serikali. Huduma za afya zimeanza kuzorota leo? Kinachofanya wakubwa wapelekwe India ni nini?

Kwa nini hawa maaskofu wanachanganya watu? Wanasimamia nini? Harambee?
 
Habari yako MS? mZIMA?...Siku hizi unajiita tena Dogodogo?
Kanisa lililopo jirani na bandari ndiyo nini hiyo?
Ulijuaje aliyekuwa anahubiri ana cheo cha Askofu...au unafurahisha jamvi?
Acha umbea mkubwa mwenzangu~!
Matusi ya nini na wewe ndugu yangu? kwani ulitaka aseme askofu ameunga mkono mgomo kama John Mnyika na wenzanke walivyosema huku wakijua kabisa wanatenda dhambi ya kutowapenda wanzao wanaoteseka mahospitalini. Najua wewe siyo daktari kwani usingeweza kuporomosha matusi hivyo. Bila shaka wewe ni teja fulani naamini kama ni mtu na akili zake timamu na siyo mwanasiasa huwezi kuuunga mkono mgomo ambao matokeo yake ni vifo. Teja, Mwanasiasa, kichaa anaweza na kwa vile umeanza na matusi naamini kundi la teja , mwanasisa haumo. Labda chizi.
Mwenzako kasema alichokisikia wewe unabwatuka, kama unajua ugonjwa ni nini na wewe ni binadamu na kwamba una familia au ndugu anayeweza kuhitaji huduma ya matibabu huwezi hata sekunde moja kuunga mkono mgomo, labda kama unataka umaarufu kama ambavyo umetumwa na wanasiasa ubwatuke bila kutafakari mateso wanayopata wenzako. Nini maslahi bora bwana, huwezi kuchezea maisha ya watu kisa maslahi bora. Naiasa Serikali kuwa kali kwa hili na hata mgomo utakapomalizika iwe serious na utendaji wao kwani wanaumiza wananchi sana kwa kuwaomba rushwa, kutoka kazini kabla ya muda, kuchukua madawa na kuyapeleka katika dispensari zao na usumbufu mwingi usiyo wa lazima.
 
Leo asubuhi nilipita karibu na kanisa lilipo karibu kabisa na bandari ya Dar.
Askofu ambae akiongoza misa hiyo aliwashtumu sana madaktari wale wanagoma, alisema si vyema kugoma huku wananchi wakitabika. alidai Taaluma ya Utabibu ni huruma zaidi badala ya kipato na anasa. aliwalaumu zaidi hasa wale wa Hospitali za dini.
alisema ni vigumu kuamini hawa madaktari waliozaliwa katika ukiristo,kukulia na kulelewa katika ukiristo leo wanaingia kwenye mtego huu wa hospitali za umma na alidai sijui wana ajenda gani na binaadamu wenziwao.
alidai serekali inatoa fedha nyingi kwa taasisi hizi kupitia MOU lkn leo hii wanagoma kushindika kulipwa mishahara mikubwa.

aliomba Serekali kuwachulia hatua kali madaktari wote waliokuwa chanzo cha mgomo

Pengo (and his subordinate bishops) can never (and would never) kneel nor bow to make any request from the government. MARK MY WORDS!
 
Japo wakristo tunaambiwa usimnenee mabaya mpaka mafuta ya Bwana...huyu askofu anapaswa aende akapate nasaha za kuimarisha ubongo wake...Hivi kama udaktari ni huruma kwa hiyo hao madaktari wakapate wapi pesa za kulisha familia zao,wapi pesa za kulipia ada za watoto wao..kama yeye anasema hii kazi ni huruma,mbona wao wanakula zaka zetu na sadaka zetu sisi hatusemi uaskofu ni kazi ya huruma? Naanza kukosa imani na viongozi wengi wa dini,kweny vitabu vyote vya dini hakuna sehemu ambayo Mungu anakubaliana na watu kuteswa na kunyimwa haki zao za msingi..na Mungu anaita upole uliopitiliza kama upumbavu...ebu tuachwe tudai haki zetu za msingi ili mradi hatuvunji sheria wala taratibu zozote za nchi.
 
dogodogo mpaka akili ya ki dogodogo,umejuaje kuwa alikuwa anahubiri ni askofu wala si padre,si mchungaji,si shemasi,si mgeni rasmi,kama ulipita karbu na bandari labda alikuwa kuli au ulikuwa unatoka baa?huwezi kumchonganisha askofu na daktari,afterall kuna maaskofu ambao pia ni madaktari. Tafta njia nyingne,hii ni failed mission.
 
Matusi ya nini na wewe ndugu yangu? kwani ulitaka aseme askofu ameunga mkono mgomo kama John Mnyika na wenzanke walivyosema huku wakijua kabisa wanatenda dhambi ya kutowapenda wanzao wanaoteseka mahospitalini. Najua wewe siyo daktari kwani usingeweza kuporomosha matusi hivyo. Bila shaka wewe ni teja fulani naamini kama ni mtu na akili zake timamu na siyo mwanasiasa huwezi kuuunga mkono mgomo ambao matokeo yake ni vifo. Teja, Mwanasiasa, kichaa anaweza na kwa vile umeanza na matusi naamini kundi la teja , mwanasisa haumo. Labda chizi.
Mwenzako kasema alichokisikia wewe unabwatuka, kama unajua ugonjwa ni nini na wewe ni binadamu na kwamba una familia au ndugu anayeweza kuhitaji huduma ya matibabu huwezi hata sekunde moja kuunga mkono mgomo, labda kama unataka umaarufu kama ambavyo umetumwa na wanasiasa ubwatuke bila kutafakari mateso wanayopata wenzako. Nini maslahi bora bwana, huwezi kuchezea maisha ya watu kisa maslahi bora. Naiasa Serikali kuwa kali kwa hili na hata mgomo utakapomalizika iwe serious na utendaji wao kwani wanaumiza wananchi sana kwa kuwaomba rushwa, kutoka kazini kabla ya muda, kuchukua madawa na kuyapeleka katika dispensari zao na usumbufu mwingi usiyo wa lazima.

ubovu wa huduma za afya nchini haujaletwa na madaktari wala manesi bali ni utendaji mbovu na ufisadi wa serikali yetu. Daktari na nesi ni taaluma inayofundisha sana maadili ya kazi na wanayafuata kwa kiwango kikubwa lakini inapofika wakati Nesi anaondoka nyumbani gongoramboto nakwenda kukesha muhimbili na huku amewaacha watoto na familia yake hawana hata hela ya kitafunwa kesho yake utegemee atakuwa na mudi gani ya kazi kama siyo kufukuzia virushwa vidogovidogo japo apate elfu mbili za maandazi kesho yake?

HakuNa binadamu aliyeshiba ambaye angependa kujidharirisha kwa kupokea rushwa ya sh. 2000 au kuiba gloves akauze! Haya yote ni mfumo mbaya wa kuwaangalia zaidi wapiga domo kuliko watendaji tunapopanga hata mishahara. mbunge wa darasa la nne ambaye kazi yake nikulala tu bungeni anapata mshahara mkubwa na miposho rundo ilihali daktari au Engineer mwenye phd wanapiga miayo na mshara wa mwaka 47. Kuna ma prof muhimbili wanatibu na kufundisha lakini nenda kaangalie maisha wanayoishi unaweza kulia wamepewa vijumba vya mabachara ili hali wanafamilia kubwa. Ukiingia nyumbani kwao unasema ni bora ukafanye biashara kuliko kuwa prof nchi hii.

Hayo yote tisa kumi ni kwamba serikali inao uwezo wa kuboresha mazingira ya hawa ndugu ispokuwa wanaona kutoa zaidi matumbo yao yatapungiwa!

Nadni kuna haja ya kugeuza kibao ili wataalamu wanaosota katika kupata utaalamu huo wafaidi matunda ya juhudi zao na wale walizembea wakitarajia kuja kupiga porojo na kuibuka na mishahara na marupurupu basi nao wafaidi uchungu wa matunda yao.

Kunahaja ya kujenga taifa linaloheshimu taaluma na siyo sisa kama ilivyo leo. Mtu aingie kwenye siasa akiwa ametosheka na matunda ya taaluma yake ili aingie huko kwa ajili ya utumishi na kuridhisha nafsi yake tu lakini si kuchuma kama ilivyo leo. Na hili litafanikiwa kwa kuunga mkono harakati kama hizi. Wananchi tunahitaji kuungamkono madai ya malipo ya haki kama ya madaktari na walimu na kupinga malipo ya wizi kama ya wabunge.
 
Matusi ya nini na wewe ndugu yangu? kwani ulitaka aseme askofu ameunga mkono mgomo kama John Mnyika na wenzanke walivyosema huku wakijua kabisa wanatenda dhambi ya kutowapenda wanzao wanaoteseka mahospitalini. Najua wewe siyo daktari kwani usingeweza kuporomosha matusi hivyo. Bila shaka wewe ni teja fulani naamini kama ni mtu na akili zake timamu na siyo mwanasiasa huwezi kuuunga mkono mgomo ambao matokeo yake ni vifo. Teja, Mwanasiasa, kichaa anaweza na kwa vile umeanza na matusi naamini kundi la teja , mwanasisa haumo. Labda chizi.
Mwenzako kasema alichokisikia wewe unabwatuka, kama unajua ugonjwa ni nini na wewe ni binadamu na kwamba una familia au ndugu anayeweza kuhitaji huduma ya matibabu huwezi hata sekunde moja kuunga mkono mgomo, labda kama unataka umaarufu kama ambavyo umetumwa na wanasiasa ubwatuke bila kutafakari mateso wanayopata wenzako. Nini maslahi bora bwana, huwezi kuchezea maisha ya watu kisa maslahi bora. Naiasa Serikali kuwa kali kwa hili na hata mgomo utakapomalizika iwe serious na utendaji wao kwani wanaumiza wananchi sana kwa kuwaomba rushwa, kutoka kazini kabla ya muda, kuchukua madawa na kuyapeleka katika dispensari zao na usumbufu mwingi usiyo wa lazima.
kwanini mnashindwa kuibana selikali ili itimize wajibu wake? Wakati wewe unawalaum ma dr. Kuwa wanauza madawa na vitendea kazi vingine, wao wanaibana selikali kuleta vitendea kazi vya kutosha!
 
only83 ,uyu dogo dogodogo mbea tu,wala asikugombanishe na charismatic leaders.
 
Habari yako MS? mZIMA?...Siku hizi unajiita tena Dogodogo?
Kanisa lililopo jirani na bandari ndiyo nini hiyo?
Ulijuaje aliyekuwa anahubiri ana cheo cha Askofu...au unafurahisha jamvi?
Acha umbea mkubwa mwenzangu~!

Ni jina lake tu ndio limepigwa ban, mawazo yake bado ni yale yale
 
Japo wakristo tunaambiwa usimnenee mabaya mpaka mafuta ya Bwana...huyu askofu anapaswa aende akapate nasaha za kuimarisha ubongo wake...Hivi kama udaktari ni huruma kwa hiyo hao madaktari wakapate wapi pesa za kulisha familia zao,wapi pesa za kulipia ada za watoto wao..kama yeye anasema hii kazi ni huruma,mbona wao wanakula zaka zetu na sadaka zetu sisi hatusemi uaskofu ni kazi ya huruma? Naanza kukosa imani na viongozi wengi wa dini,kweny vitabu vyote vya dini hakuna sehemu ambayo Mungu anakubaliana na watu kuteswa na kunyimwa haki zao za msingi..na Mungu anaita upole uliopitiliza kama upumbavu...ebu tuachwe tudai haki zetu za msingi ili mradi hatuvunji sheria wala taratibu zozote za nchi.

Acha kukurupuka na hoja nziiito ukapanda presha bure, una ugeni na Malaria Sugu? Kapigwa ban juzi hapa sasa msioweza kumtambua kwa maneno yake mtachangia mada hasaaaa. Ukitafakari utabaini kuwa mtu ukipita nje ya kanisa huwezi kujua kama anayehubiri ndani ni ASKOFU, PAROKO au PADRE. Usiwe mwepesi hivyo kukamatwa na huyu juha
 
Leo asubuhi nilipita karibu na kanisa lilipo karibu kabisa na bandari ya Dar.
Askofu ambae akiongoza misa hiyo aliwashtumu sana madaktari wale wanagoma, alisema si vyema kugoma huku wananchi wakitabika. alidai Taaluma ya Utabibu ni huruma zaidi badala ya kipato na anasa. aliwalaumu zaidi hasa wale wa Hospitali za dini.
alisema ni vigumu kuamini hawa madaktari waliozaliwa katika ukiristo,kukulia na kulelewa katika ukiristo leo wanaingia kwenye mtego huu wa hospitali za umma na alidai sijui wana ajenda gani na binaadamu wenziwao.
alidai serekali inatoa fedha nyingi kwa taasisi hizi kupitia MOU lkn leo hii wanagoma kushindika kulipwa mishahara mikubwa.

aliomba Serekali kuwachulia hatua kali madaktari wote waliokuwa chanzo cha mgomo

kauli hii inatia matumaini maana huko nyuma tumezoea kuona kila jambo baya siku hizi viongozi wa makanisa wanakaaa kimya.mimi nataka kuwaambia watanzania hasa wana JF taaluma zote tanzania zinatakiwa zipewe kipaumbel siyo madaktari tu,anayekwambia daktari ni mtu muhimu kuliko mwalimu anakudanganya,maana bila mwalimu hakuna daktarai,dereva je? uliwahi kusikia mgomo wa madereva huko ujermani? nchi nzima ilisinyaa, je wakigoma benk? je wakigoma polisi? je maduka yote yakifungwa wanyabiashara nao wakagoma mwezi?
 
Back
Top Bottom