njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 12,375
- 5,517
wandugu ee hiVi kama kila mtu ata claim kima cha chini kiwe 3.5 tutafika?hawa madaktari nao wamezidi jamani dUuh
nakumbuka nilipokuwa med school kuna kijana wa ki Mauritius alipata TB kutoka kwa mgonjwa.....!! madactari wana risk vitu vingi sana even though mnadai ni wito...