Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Hivi kuna tatizo gani Blandina Nyoni kutumia lugha ya hekima kudeal na hawa ma daktari?
Hivi hii yote ni jeuri ya pesa alizotengeneza kuitapeli serikali alipoiuzia kwa bei ya kutisha ile software ya ASYCUDA?