Kwani aliwapeleka nani hapo? Na uhalali ama sio halali kuwepo hapo kwanini uje mda huu ambao wanadai maslahi yao?
Yani unajibu hoja pasipo hata kuelewa madaktari wanadai nini! Wewe hujui kuwa wanadai maslahi zaidi na pia intern warudi Muhimbili! Wasimame kwenye hoja za msingi, malipo yanayoendana na nature ya kazi na kuboreshwa kwa mazingira ya kazi, period! Hayo mengine wanajichanganya tu na jamii haiwezi kuwaelewa. Kama unafahamu aliyewapeleka hapo basi pia fahamu ana uwezo wa kuwatoa hapo, tatizo liko wapi!