mgomo wa madaktari katika picha

Mbona wabunge was Dar hawajasema chochote kuhusu hii issue? Au madhara yatokanayo na huu mgomo ni madogo sana ukilinganisha na ile issue ya kupanda kwa nauli za kivuko cha kigamboni? Naanza kuamini sasa kuwa hawa wabunge watu wanafikiria kwa kutumia yale makitu.....

masaburi. Off duty.
 
Sikujuwa kama wavaa hijab nao wanakuwa madaktari, mie nilifikiri wao ni madrasa tu.

kizazi cha kata kei,hivi unajua kwamba hospitali ya kwanza kulaza mgonjwa ilikuwa wapi?hivi unajua huduma za kibenki zilianza wapi?hivi unajua hizo elimu za sayansi munazojivunia chimbuko lake?unamjua mwanzilishi wa hesabu za aljebra?hakuna unachojua zaidi ya kuhubiri mgawanyiko na chuki za kidini?umeshawahi kujiuliza kwa nini wayahudi mpaka leo wanamuona yesu kama babu wa loliondo?
 
kizazi cha kata kei,hivi unajua kwamba hospitali ya kwanza kulaza mgonjwa ilikuwa wapi?hivi unajua huduma za kibenki zilianza wapi?hivi unajua hizo elimu za sayansi munazojivunia chimbuko lake?unamjua mwanzilishi wa hesabu za aljebra?hakuna unachojua zaidi ya kuhubiri mgawanyiko na chuki za kidini?umeshawahi kujiuliza kwa nini wayahudi mpaka leo wanamuona yesu kama babu wa loliondo?

unamfaham unayeongea nae?
 
Back
Top Bottom