Kirode
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 3,566
- 82
Mbona wabunge was Dar hawajasema chochote kuhusu hii issue? Au madhara yatokanayo na huu mgomo ni madogo sana ukilinganisha na ile issue ya kupanda kwa nauli za kivuko cha kigamboni? Naanza kuamini sasa kuwa hawa wabunge watu wanafikiria kwa kutumia yale makitu.....
masaburi. Off duty.