CYBERTEQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 7,341
- 4,045
Mtoa Mada Tafadhali UCPOTOSHE UMMA: Kama Hujui Sababu Ya Mgomo Ni Bora Ukanyamaza... Nianze Na Hili La Bei Umesema Katika Post Yako Dubai Ni US50/TSH ELEU 80 TU. Ukatoatoa Mfano Kenya Ni Tsh 150,000= Pamoja Na Kutokuwa Sahihi Bei Zako Je Wewe Unaweza Nunua Kitu Cha Elf 80 Kwa Laki Nane?? Na Kama Tatizo Ni Mashne Kwann Wasiruhusu Wafanyabiashara Waagize/wanunue Wenyewe Sehemu Wanayotaka??? Je Ni Kwann Walazimishe Service Ya Mashine Iwe Elf 60 Hata Kama Ni Kubadilisha Karatasi Zikiisha??? Hv Mazingra Kama Haya Ndg Yangu Wewe Unayaona Ni Sahih Mpaka Wafanyabiashara Wakubali Wizi Huu Wa Kimachomacho Wanaofanyiwa Na Serikali Yao Kumbuka Kuna Wegne Wamekopa Kwa Wizi Huu Lazima Watafungwa LAKIN Kubwa Kumbuka Mfanyabiashara Hana Hasara Maumivu Ya EFDs Atakaye Yabeba Ni Mimi Na Wewe Mimi Nilifikiri Tunawasaidia Wafanyabiasha Kudai Hili Ili Unafuu Upatikane Kwetu WALAJI.. Msimamo Huo Ungeiambia Serikali Na Misamaha Ya Kodi Kwa Makampuni Makubwa Na Ya Nje Wewe Unashadadia Walalahoi Wenzako... Buushit
Ninyi ndiyo tunawaita mbumbumb na wadandiaji mambo, mnashabikia hata kitu usichokifahamu! Hebu nisomee hayo maandishi kwenye bango kuu la wafanyabiashara wa Mwanza, HAWATAKI MASHINE HATA BURE! Mimi nauza hizi mashine, kampuni nayochukua mashine wanahiyo project kenya na Malawi, hakuna nchi wanayouza chini ya laki 4!!! Na hiyo ni baada ya serikali kufuta kodi na kusubsidize, hapa Tanzania mashine technically ZINAGAWIWA BURE!!! Kuhusu matengenezo, hiyo elfu 60 ya matengenezo ni kama hauna contract na kampuni, ukitaka kuingia mkataba na kampuni gharama za matengenezo hazizidi laki na 20 kwa mwaka (wastani wa elfu 10 kwa mwezi!!), kila ofisi lazima iwe na angalau technician mmoja, analipwa si chini ya 350,000 kwa mwezi!!! Wafanyabiashara, mimi nikiwemo tunaelewa wazi kuwa ukiwa na EFD kukwepa kodi inakuwa ngumu, labda uandike risiti bei chini, au usiandike kabisa jambo ambalo unaweza kupigwa fine ya mpaka 5M!!! ACHENI USHABIKI WA MAMBO MSIYOYAFAHAMU!