Mgomo wa EFDs: Kilichopo nyuma ya pazia. Serikali isimame IMARA

Hata Robert Kiyosaki ameliongelea hilo...
Sijui serikali ina promote watu wawe wafanyabiashara sijui, mambo ya kodi yangewekewa mkazo kama wabunge nao wangekuwa wanakatwa kodi mapato yao hivyo practically wangeelewa kile ambacho wananchi wanalalamika. Kuhusu hili suala la EFD nadhani serikali kuna haja ya kuangalia hizi kodi zao kama ni kubwa kiasi cha kumuumiza mwananchi na kuzifanyia marekebisho ili wananchi wengi walipe kodi huku ikipandisha mdogo mdogo baada ya wananchi kuelewa umuhimu wa kodi (yote yafanyike lakini serikali irudishe feedback kwa wananchi kwa kuleta maendeleo). Ila wakati mwingine huwa najiuliza inakuaje maduka ya wahindi wao hata kabla ya EFD wamekuwa mstari wa mbele kutoa receipt na wanakuandikia kabisa VAT ni hii na amount ya mzigo uliochukua ni huu tena wanakupa receipt bila kuomba (hapa ndio huwa nachanganyikiwa kwanini wengine inakuwa issue)
 
Sijui serikali ina promote watu wawe wafanyabiashara sijui, mambo ya kodi yangewekewa mkazo kama wabunge nao wangekuwa wanakatwa kodi mapato yao hivyo practically wangeelewa kile ambacho wananchi wanalalamika. Kuhusu hili suala la EFD nadhani serikali kuna haja ya kuangalia hizi kodi zao kama ni kubwa kiasi cha kumuumiza mwananchi na kuzifanyia marekebisho ili wananchi wengi walipe kodi huku ikipandisha mdogo mdogo baada ya wananchi kuelewa umuhimu wa kodi (yote yafanyike lakini serikali irudishe feedback kwa wananchi kwa kuleta maendeleo). Ila wakati mwingine huwa najiuliza inakuaje maduka ya wahindi wao hata kabla ya EFD wamekuwa mstari wa mbele kutoa receipt na wanakuandikia kabisa VAT ni hii na amount ya mzigo uliochukua ni huu tena wanakupa receipt bila kuomba (hapa ndio huwa nachanganyikiwa kwanini wengine inakuwa issue)

Tatizo la kutolipa kodi hapa kwetu ni la kimfumo. Kumbuka hata wabunge wakati wa upangaji bajeti ya serikali linapokuja suala la kodi za magari huwa wanahakikisha kuwa aina ya magari ambayo wabunge wengi wanatumia hayawekewi kodi kubwa licha ya kuwa ni magari ya bei mbaya. Nchi nyingine watu wamebadilika sana, nchi kama Denmark ukikwepa kodi hadi watoto wa kuwazaa mwenyewe wanakukana kuwa sio baba yao. Kukwepa kulipa kodi huko ni Anti-social behavior. Huku kwetu wakwepa kodi ndio mashujaa na ndio wenye maisha mazuri
 
Ila saiv walau tunaenda kuzuri. Naona had wakwepa kodi mashuhuri (wahindi) waameanza ,na katika migomo hyo nadhan wahind watakuwa wachache sanaa au hawapo.kwa wale wachache naowafaham hapa dar naona wapo very careful kwenye kufuata sheria now.kuna vipenalt wamepigwa hv karibun vimewashtua.,
 
Kama sio biashara ya kiongozi moja wa serikali basi tra iruhusu wafanyabiashara waagize wenyewe wanaojua iwe china uarabuni au hara mbinguni haafu serikali isajili tu na kuzipa namba au laa serikali iagize popote na kuwapa bure wafanyabiashara maana hawa ni vitegauchumi (sehemu ya kukusanyia kodi serikali hivyo ni muhimu kuwakopesha au kuwapa bure

Ndiyo maana tunasema mnakurupuka na kupayuka wakati hamjui kinachoendelea, hizo mashine WANAPEWA BURE, PESA YOTE INAREJESHWA KWENYE MALIPO YA KODI! Halafu ukinunua Uarabuni nani awe responsible ikisumbua? Utairudisha huko China ikarekebishwe au? Mimi nasema, UKIONA MTU ANALIA SAAAAN MSIBANI UJUE NI MNAFKI NA HUENDA HANA UHUSIANO WOWOTE NA MAREHEMU!
 
Ila saiv walau tunaenda kuzuri. Naona had wakwepa kodi mashuhuri (wahindi) waameanza ,na katika migomo hyo nadhan wahind watakuwa wachache sanaa au hawapo.kwa wale wachache naowafaham hapa dar naona wapo very careful kwenye kufuata sheria now.kuna vipenalt wamepigwa hv karibun vimewashtua.,

Acha kabisa kaka, HAKUNA MTU YUKO MAKINI KAMA MHINDI, wote wanazo mashine tayari, na wamezipenda kwa sababu.............! Chezea.
 
Watanzania TUTAMANI MAENDELEO NA HATUTAKI KULIPA KODI Ni aibu iloje . Kwenye hili Serikali isimame imara na isiyubishwe na wahuni.

Hadi hapo ulipoandika hii meseji yako umeshalipa kodi ngapi...kama ni kifaa ulichotumia.kiti ulichokalia.internet.bla bla blaaaaah walipe tu ila hivyo vimashine wape buree ili wakose sababu.
 
Wafanyabiashara wanalipa kodi na nikodi kubwa kuliko hata nchi za jirani tzn tunaongoza kwa kodi lkn ni masikin wa kutupwa,, je kodi hyo inaenda wapi? Madai yao ni yamsingi sn kwanza wanao lengwa hapo ni wafanyabishara wadogo ambao hawawez kumudu garama za hiz mashine,, kwani zinagarama kubwa sn ktk uendeshaji wake ukiondoa garama za manunuzi... Mashine ikigoma hutakiwi kufanya biashara uwaone TRA kwanza ambao wamekaa ofisini wakipata upepo mlipa kodi ndiyo anahangaika... Tzn inawezekana bila efd mashine...
 
Kiongozi tunayo nafasi pia ya kudai uwajibikaji wa serikali na matumizi sahihi ya kodi zetu. Wakati huu tunagomea au hatutaki kulipa kodi, hata hicho kidogo kingechopatikana huenda kingeokoa maisha ya watanzania wenzetu kwa angalau kiasi kidogo cha dawa za kutibu magonjwa yao. Then ikifika 2015 tufanya maamuzi sahihi kwa kuweka serikali itakayojali matumizi ya kodi zetu. I understand your frustrations kiongozi...

kama tukipata serikali ambayo atleast inajali welfare ya watu, hapo ndo mimi, wewe na yule tutalipa kodi kwasababu tuajua jinsi itakavyosaidia wengi. angalia jinsi welfare ya wananchi wanaotokea scandnavian countries ilivyo juu, kwasababu 80% ya income yao inaenda kwenye kodi na serikali inafanya kweli.

sorry for being harsh
 
MKUU WA MKOA MWANZA CHUKUA HATUA
Leo ni siku ya tatu tangia kuwe na mgomo wa wafanyabiashara katika jiji la Mwanza ambao umepelekea maduka kufungwa.
Maduka mengi yaliofungwa ni yale ya katikati ya mji, na moja ya sababu iliyosababishwa maduka kufungwa ni malalamiko ya muda mrefu ya wafanya biashara wa mji huo dhidi ya mashine za EFD na utaratibu mzima wa kupata leseni na mambo mengine mengi ambayo wamesema sasa ni wakati wa kufikisha ujumbe.
Kiukweli hoja zao ni za muhimu na zinatakiwa kufanyiwa kazi lakini kuna jambo moja ama mawili yamenistua kwanza baada ya kuwepo eneo la tukio nilibahatika kuonana na wazee mbali mbali ambao wengi wanamatatizo ya afya kama inavyojulikana asilimia kubwa ya wazee wetu afya zao hazipo sahihi,wazee hao wanalalamika kufungwa kwa maduka ya Dawa nay a Vyakula hii inawaumiza sana.
Baadhi ya Wafanyabiashara wengi wamesema wao wapo tayari kufungua Maduka yao lakini wanatishiwa kufanyiwa fujo na makundi ya wahuni na wamedai hili suala lipo chini ya kikundi kimoja cha wahuni kinachodhaminiwa na chama kimoja cha siasa.
Ombi lao kubwa ni kwa mkuu wa mkoa kuchukua uamuzi wa haraka wa kuruhusu maduka yafunguliwe kwa walio tayari na kuhakikisha ulinzi wa hali ya juu.
Inasemekana kuwa CHADEMA ndio wameanzisha hoja hiyo na ni maandalizi ya Mbowe kuja kuhutubia mjini hapo,la msingi Mbowe na Chama chake lazima watambue kuwa mpaka wao wanafika mwanza kuhutubia mamia ya watanzania wasiokuwa na mitazamo ya kisiasa watakuwa wamekufa kwa kukosa Dawa na Chakula,wafanyabiashara ambao mitaji yao midogo ndio watakuwa wamefilisika kabisa na kusababisha matatizo makubwa kwao na familia zao.
Ifike wakati kabla ya kuanzisha mchakato wasomi wake chini na kupanga vizuri maana kama Mbowe ukiumwa unaweza tibiwa na kupata dawa popote lakini si raia masikini wa Mwanza maana duka hata la Panadol mmefunga!MKUU WA MKOA MWANZA CHUKUA HATUA
Leo ni siku ya tatu tangia kuwe na mgomo wa wafanyabiashara katika jiji la Mwanza ambao umepelekea maduka kufungwa.
Maduka mengi yaliofungwa ni yale ya katikati ya mji, na moja ya sababu iliyosababishwa maduka kufungwa ni malalamiko ya muda mrefu ya wafanya biashara wa mji huo dhidi ya mashine za EFD na utaratibu mzima wa kupata leseni na mambo mengine mengi ambayo wamesema sasa ni wakati wa kufikisha ujumbe.
Kiukweli hoja zao ni za muhimu na zinatakiwa kufanyiwa kazi lakini kuna jambo moja ama mawili yamenistua kwanza baada ya kuwepo eneo la tukio nilibahatika kuonana na wazee mbali mbali ambao wengi wanamatatizo ya afya kama inavyojulikana asilimia kubwa ya wazee wetu afya zao hazipo sahihi,wazee hao wanalalamika kufungwa kwa maduka ya Dawa nay a Vyakula hii inawaumiza sana.
Baadhi ya Wafanyabiashara wengi wamesema wao wapo tayari kufungua Maduka yao lakini wanatishiwa kufanyiwa fujo na makundi ya wahuni na wamedai hili suala lipo chini ya kikundi kimoja cha wahuni kinachodhaminiwa na chama kimoja cha siasa.
Ombi lao kubwa ni kwa mkuu wa mkoa kuchukua uamuzi wa haraka wa kuruhusu maduka yafunguliwe kwa walio tayari na kuhakikisha ulinzi wa hali ya juu.
Inasemekana kuwa CHADEMA ndio wameanzisha hoja hiyo na ni maandalizi ya Mbowe kuja kuhutubia mjini hapo,la msingi Mbowe na Chama chake lazima watambue kuwa mpaka wao wanafika mwanza kuhutubia mamia ya watanzania wasiokuwa na mitazamo ya kisiasa watakuwa wamekufa kwa kukosa Dawa na Chakula,wafanyabiashara ambao mitaji yao midogo ndio watakuwa wamefilisika kabisa na kusababisha matatizo makubwa kwao na familia zao.
Ifike wakati kabla ya kuanzisha mchakato wasomi wake chini na kupanga vizuri maana kama Mbowe ukiumwa unaweza tibiwa na kupata dawa popote lakini si raia masikini wa Mwanza maana duka hata la Panadol mmefunga!
 
sijapata ban muda mrefu,ila kwa huu uharo lazima leo nifungue mwaka na ban.
nitairepoti hii mada kwa modi wasipoifunga,nitarudi na matusi
 
Mjinga wewe CCM si imewajengea hospitali unalalama na maduka ya dawa ya nini?? WAZEE afya mbovu si matokeo ya wao KUIKUMBATIA CCM???, kabla ya EFD zao hizo mwanza ni CDM damu sasa unataka injinia aingie kichwa kichwa, muulize Kandoro ni alichopata aliponyosha miguu wakati shuka ni fupi??? Msukumayule anajua anatawala eneo la CDM, akifuata maelekezo ya CCM itaishia laana maana huko ni nyumbani kwao pia.
 
we ------,rema hata kariakoo na moro walivyogomea hizo mashine chadema walihusika?
nadhani umebanwa na haja kubwa!
 
MKUU WA MKOA MWANZA CHUKUA HATUA
Leo ni siku ya tatu tangia kuwe na mgomo wa wafanyabiashara katika jiji la Mwanza ambao umepelekea maduka kufungwa.
Maduka mengi yaliofungwa ni yale ya katikati ya mji, na moja ya sababu iliyosababishwa maduka kufungwa ni malalamiko ya muda mrefu ya wafanya biashara wa mji huo dhidi ya mashine za EFD na utaratibu mzima wa kupata leseni na mambo mengine mengi ambayo wamesema sasa ni wakati wa kufikisha ujumbe.
Kiukweli hoja zao ni za muhimu na zinatakiwa kufanyiwa kazi lakini kuna jambo moja ama mawili yamenistua kwanza baada ya kuwepo eneo la tukio nilibahatika kuonana na wazee mbali mbali ambao wengi wanamatatizo ya afya kama inavyojulikana asilimia kubwa ya wazee wetu afya zao hazipo sahihi,wazee hao wanalalamika kufungwa kwa maduka ya Dawa nay a Vyakula hii inawaumiza sana.
Baadhi ya Wafanyabiashara wengi wamesema wao wapo tayari kufungua Maduka yao lakini wanatishiwa kufanyiwa fujo na makundi ya wahuni na wamedai hili suala lipo chini ya kikundi kimoja cha wahuni kinachodhaminiwa na chama kimoja cha siasa.
Ombi lao kubwa ni kwa mkuu wa mkoa kuchukua uamuzi wa haraka wa kuruhusu maduka yafunguliwe kwa walio tayari na kuhakikisha ulinzi wa hali ya juu.
Inasemekana kuwa CHADEMA ndio wameanzisha hoja hiyo na ni maandalizi ya Mbowe kuja kuhutubia mjini hapo,la msingi Mbowe na Chama chake lazima watambue kuwa mpaka wao wanafika mwanza kuhutubia mamia ya watanzania wasiokuwa na mitazamo ya kisiasa watakuwa wamekufa kwa kukosa Dawa na Chakula,wafanyabiashara ambao mitaji yao midogo ndio watakuwa wamefilisika kabisa na kusababisha matatizo makubwa kwao na familia zao.
Ifike wakati kabla ya kuanzisha mchakato wasomi wake chini na kupanga vizuri maana kama Mbowe ukiumwa unaweza tibiwa na kupata dawa popote lakini si raia masikini wa Mwanza maana duka hata la Panadol mmefunga!MKUU WA MKOA MWANZA CHUKUA HATUA
Leo ni siku ya tatu tangia kuwe na mgomo wa wafanyabiashara katika jiji la Mwanza ambao umepelekea maduka kufungwa.
Maduka mengi yaliofungwa ni yale ya katikati ya mji, na moja ya sababu iliyosababishwa maduka kufungwa ni malalamiko ya muda mrefu ya wafanya biashara wa mji huo dhidi ya mashine za EFD na utaratibu mzima wa kupata leseni na mambo mengine mengi ambayo wamesema sasa ni wakati wa kufikisha ujumbe.
Kiukweli hoja zao ni za muhimu na zinatakiwa kufanyiwa kazi lakini kuna jambo moja ama mawili yamenistua kwanza baada ya kuwepo eneo la tukio nilibahatika kuonana na wazee mbali mbali ambao wengi wanamatatizo ya afya kama inavyojulikana asilimia kubwa ya wazee wetu afya zao hazipo sahihi,wazee hao wanalalamika kufungwa kwa maduka ya Dawa nay a Vyakula hii inawaumiza sana.
Baadhi ya Wafanyabiashara wengi wamesema wao wapo tayari kufungua Maduka yao lakini wanatishiwa kufanyiwa fujo na makundi ya wahuni na wamedai hili suala lipo chini ya kikundi kimoja cha wahuni kinachodhaminiwa na chama kimoja cha siasa.
Ombi lao kubwa ni kwa mkuu wa mkoa kuchukua uamuzi wa haraka wa kuruhusu maduka yafunguliwe kwa walio tayari na kuhakikisha ulinzi wa hali ya juu.
Inasemekana kuwa CHADEMA ndio wameanzisha hoja hiyo na ni maandalizi ya Mbowe kuja kuhutubia mjini hapo,la msingi Mbowe na Chama chake lazima watambue kuwa mpaka wao wanafika mwanza kuhutubia mamia ya watanzania wasiokuwa na mitazamo ya kisiasa watakuwa wamekufa kwa kukosa Dawa na Chakula,wafanyabiashara ambao mitaji yao midogo ndio watakuwa wamefilisika kabisa na kusababisha matatizo makubwa kwao na familia zao.
Ifike wakati kabla ya kuanzisha mchakato wasomi wake chini na kupanga vizuri maana kama Mbowe ukiumwa unaweza tibiwa na kupata dawa popote lakini si raia masikini wa Mwanza maana duka hata la Panadol mmefunga!

Mkuu mimi utafiti wangu haujaonesha kuwa kuna siasa katika hili suala. Ingawa limesababisha wananchi wa Mwanza tuzidi kuichukia CCM.

Kero nyingine ambayo iko hot ni suala la kulipia 100,000= ya Fire Extinguisher. Kero ndogo ndogo kama hizi mkuu wa mkoa asipoangalia zitasababisha madhara tu. Hivi kweli ule mtungi wa fire unaweza kuzuia moto wa dukani kweli au ni njama ti za kukusanya hela za watanzania wanaopigana kwa juhudi binafsi kuboresha maisha yao bila msaada wa serikali? Kwa nini serikali isinunue magari ya Fire ya kutosha kutoa huduma za zima moto badala ya kulazimisha wafanyabiashara kulipia laki moja ya Fire, ambayo kimsingi ni kubwa kuliko hata kodi kwa baadhi ya biashara. Laki moja ya fire ni kero kubwa ambayo itasaidia kuondoa CCM madarakani
 
Vyovyote utakavyo nichukulia..sawa tu!
Wakusanya kodi wana njia mbalimbali za kukusanya kodi, tena wanaweza hata kutumia biblia kuhalalisha kodi.ktk hilo sina pingamizi.

Tatizo ni je hizo kodi zinatumikaje?hata pale inapobainika matumizi mabaya ya kodi yamefanyika hakuna hatua zozote zitachukuliwa na zaidi kodi itatumika ktk kuunda tume,kamati, na upuuzi mwingine!ktk hili sikubaliani nalo na nita kwepa kodi tu!

Wiki nne zimepita nilikwenda kununua waya wa kuvuta umeme toka ktk luku kwenda main switch.kwa sasa unauzwa tshs 7300 kwa mita moja. Ktk mita 12 !ililipa tshs 80400.muuzaji akanipa risit kutoka Efd inayoonyesha nimefanya manunuzi ya shs 20,000 tu hivyo kulipa VAT ya shs 633.33 hivi.niliipokea baada ya kubagain gharama upya toka 7500 mpaka 6800.

KWANGU KULIPA KODI SIO UZALENDO,KWANI NINAWEZESHA MAJAMBAZI WA UCHUMI.
 
Tatizo la kutolipa kodi hapa kwetu ni la kimfumo. Kumbuka hata wabunge wakati wa upangaji bajeti ya serikali linapokuja suala la kodi za magari huwa wanahakikisha kuwa aina ya magari ambayo wabunge wengi wanatumia hayawekewi kodi kubwa licha ya kuwa ni magari ya bei mbaya. Nchi nyingine watu wamebadilika sana, nchi kama Denmark ukikwepa kodi hadi watoto wa kuwazaa mwenyewe wanakukana kuwa sio baba yao. Kukwepa kulipa kodi huko ni Anti-social behavior. Huku kwetu wakwepa kodi ndio mashujaa na ndio wenye maisha mazuri
Kuna haja kila Mtz apewe TIN yake hata kama ameajiriwa kile anachokatwa kinakuwa indicated kwenye TIN yake ili wajenga nchi watambuliwe pia endapo mtu unakuwa unaingiza mihela ambayo haileweki inakuwa rahisi kuangalia profile yako TRA maana kwa nchi yetu ni kawaida kukuta mtu ana mali za milioni 300 ukifuatilia kodi katika kipindi cha miaka 10 akijitahidi amelipa 5 million. Hata hawa wanasiasa wanapotaka kuomba kura ingekuwa vyema kama kigezo cha ulipaji kodi angalau miaka 5 mfululizo nacho kitumike ili kujenga taifa la walipa kodi unless shughuli anazozifanya ni zile ndogo ndogo zinazoangukia kwenye ushuru wa halmashauri (hata hapa awe na receipt wakati wa kuchukua fomu). Yaani kama watu wangekuwa wanalipa kodi kihalali hata Profesa Muhongo asingepata jeuri ya kusema 'watz hatuwezi kuwekeza kwenye gas' maana njia pekee ya kisayansi ya kumwangalia mtu mwenye fedha ni kwa kuangalia mamlaka zinazohusika na ukusanyaji wa mapato na si kuangalia idadi ya maghorofa anayomilki, tukifanya hivi watu watakuwa wanalipa kodi ili wasikose deal mbalimbali za serikali
 
[h=1]Waziri Kigoda: Mfumo mashine EFDs ni mbovu, unakandamiza[/h]
Dar es Salaam
. Serikali imekiri mfumo wa ulipaji kodi na ule wa utumiaji wa mashine za kutolea risiti(EFDs) kuwa ni mbovu na hivyo unahitaji kufanyiwa kazi.


Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kigoda, amesema mfumo wa ulipaji kodi nchini bado unakabiliwa na matatizo ambayo hayawezi kusaidia katika kumuendeleza mfanyabiashara zaidi ya kumkandamiza.

Dk Kigoda alisema hayo wakati alipokutana na wafanyabiashara wa mikoa yote nchini, kuhusu maboresho katika ukusanyaji wa mapato yatokanayo na kodi na tozo mbalimbali wanazotozwa wafanyabiashara, wajasiriamali na mapendekezo ya uendeshaji wa biashara nchini.

Alisema baada ya serikali kulitambua hilo hivi sasa inajipanga kutafuta ufumbuzi utakaosaidia kumaliza changamoto hizo. Hata hivyo, bado kuna kazi kubwa ya kupata mfumo bora wa uendeshaji biashara na ulipaji kodi.

"Suala la mashine za kutolea stakabadhi mmelizungumzia kwa mapana, lakini hata hivyo bado zina changamoto lakini haya yote mliyoyazungumza wakati nikienda kukutana na wenzangu endeleeni na kufanya biashara zenu kwa utaratibu wenu wa zamani hadi ufumbuzi utakapatikana," alisema Dk Kigoda.


Dk Kigoda alisema kama mtakumbuka kuna taarifa zilizowahi kutolewa na vyombo vya habari kimataifa kuwa Tanzania ilikuwa ni moja ya nchi iliyofanya vibaya katika kipindi cha mwaka jana kutokana mfumo mbaya uliosbabishwa na sababu mbalimbali ikiwamo masuala ya ukusanyaji kodi.

Aidha, aliwataka kuwa wavumilivu wakati matatizo yao yakishughulikiwa kwani watambue matatizo ya kiuchumi hayatatuliwi kwa migomo, maandamano ya kisiasa bali hutatuliwa kiuchumi.

"Tanzania tuna tatizo kubwa sana na lazima tuliondoe hili siyo lingine bali ni kutoaminiana kati ya serikali na wafanyabiashara. Hili lazima tulitatue kwa sababu serikali tunaona wafanyabiashara ni wajanja wanaweza kukwepa kodi wakati wafanyabiashara nao hivyo hivyo…." alisema na kuongeza:

Huku akishindwa kuweka wazi akiepuka kulizungumzia kwa undani suala la EFD, zaidi akiwapongeza wafanyabiashara hao kwa kauli yao kuwa hawapingi kulipa ko.iN Aliwasihi suala hilo litakwisha baada ya kikosi kazi kitakachoundwa kikiwashirikisha wafanyabiashara hao.

"Hatuwezi kumkamua ng'ombe atoe maziwa bila kumpa majani na hatuwezi kumaliza matatizo ya uchumi kwa maandamano au kuwasikiliza wanasiasa. Njia pekee ya kutatua matatizo haya ni kushirikisha wataalamu wa uchumi" aliongeza.



Source: Mwananchi

My take: TRA iko chini ya wizara ya Fedha, je kauli ya waziri wa viwanda na biashara kwenye RED hapo ina mashiko? Au ndio serikali ya kishkaji kila mtu ana maamuzi?
 
Back
Top Bottom