Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,914
- 93,671
KabisaNa ndiyo enzi sahihi sasa! Enzi za kuumizana, kutesana, kuuana, kutishana, kupotezana, kudhulumiana, kuabudiana, kutukuzana, kusujudiana, kubaguana, nk. Hazina tija kwa ulimwengu wa sasa.
Maeneo yalikuwepo lakini viongozi wakayauzahakuna cha enzi yoyote, haya yote ni madhara ya utawala wa CCM kutawala kwa aina ile ile miaka nenda rudi - Kwa mfano Halmashauri iliyoongozwa na CCM miaka yote Temeke na sasa Kigamboni hawakujua watahitaji eneo kubwa la stand maeneo ya pale ferry ?
Democracy - rule of law!Nchi inarudi kwenye migomo? Iringa wamegoma mwezi uliopita, Mbeya wamegoma juzi, leo hii tena jijin huko duuuu
Na ndio matatizo ya kuongoza nchi kibabe bila kufuata taratibu. Wapinzani walipokuwa wanasema nchi iendeshwe kwa kufuata taratibu mlikuwa mnasema kuwa wanatumiwa na mabeberu, ikawa nchi nzima inafuata maamuzi ya mtu mmoja hata kama ni ya ovyo (kama kuruhusu wamachinga kila mahali)Nchi inarudi kwenye migomo? Iringa wamegoma mwezi uliopita, Mbeya wamegoma juzi, leo hii tena jijin huko duuuu
Unamjua Dr Ulimboka?Na ndiyo enzi sahihi sasa! Enzi za kuumizana, kutesana, kuuana, kutishana, kupotezana, kudhulumiana, kuabudiana, kutukuzana, kusujudiana, kubaguana, nk. Hazina tija kwa ulimwengu wa sasa.
Migomo na maandamano ni njia ya wananchi husika kufikisha ujumbe.Nchi inarudi kwenye enzi zake
Kumbukeni Usemi wa JPM alisema mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya ....... mengi tutayaonaNchi inarudi kwenye migomo? Iringa wamegoma mwezi uliopita, Mbeya wamegoma juzi, leo hii tena jijin huko duuu.
Iringa na Mbeya ni mfano mzuri!
Yericco anakaa porini kabisa huko kunaitwa Mbutu. Mbali kinyama. Analima na kuvuta bange tu.Yericko Nyerere saidia kutafuta ufumbuzi!
Hazikutoshi JoYericko Nyerere saidia kutafuta ufumbuzi!
Kwanini utumie kivuli wakati og ipoYericko ni mbunge kivuli!
Hahahaaaa...... Yericko ni mdau mkubwa wa maendeleo kigamboni hadi Mbutu!Hazikutoshi Jo
Migomo ni sehemu ya ustaarabu wa collective bargaining.Nchi inarudi kwenye migomo? Iringa wamegoma mwezi uliopita, Mbeya wamegoma juzi, leo hii tena jijin huko duuu.
Hazikutoshi JoYericko Nyerere saidia kutafuta ufumbuzi!