Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
Kuna habari zimezagaa hapa jijini Mwanza kuwa kulikuwa na mgomo ambao ulitakiwa kuanza mida ya saa mbili asubuhi, kuna waliokubali kuanza mgomo ila kuna wengine ambao walikaidi. picha hii inaonesha gereva wa daladala aliyekaidi kugoma akishambuliwa na wenzio waliogoma! Kwa bahati nzuri aliokolewa na askari polisi!