Waungwana niambieni!! Kesho tumepigwa mkwala hakuna kugoma na kuanzia kesho hiyohiyo tunategemea traffic JAM kubwa kuwahi kutokea hapa DSM.
Sasa kama nimekwama kwenye JAM ikapelekea kuingia ofisini saa 5 nikahusishwa na mgomo itakuwaje hapo! Nisaidieni wajameni!
Sasa kama nimekwama kwenye JAM ikapelekea kuingia ofisini saa 5 nikahusishwa na mgomo itakuwaje hapo! Nisaidieni wajameni!